You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Zelensky na Biden kuhudhuria mazungumzo ya ulinzi wa Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atahudhuria mkutano wa kimataifa kujadili msaada wa kijeshi kwa Ukraine.
Ukraine kuwasilisha 'mpango wa ushindi' kwa Washirika wake
Zelensky asema kwamba nchi yake itawasilisha ´mpango wa ushindi wa vita´ katika mkutano wa kawaida wa washirika wake.
Kremlin yaonya Ukraine "inacheza na moto"
Kremlin yaonya kwamba Ukraine "inacheza na moto" baada ya kuuwawa kwa Andriy Korotky.
Ukraine yashambulia bohari ya mafuta ya Urusi
Ukraine imesema imeishambulia bohari ya mafuta ya Urusi kwa kutumia droni kwenye mkoa wa mpakani wa Voronezh.
Ukraine yaimarisha ulinzi mashariki mwa Donetsk
Jenerali Oleksandr Syrskyi, ameamrisha kuimarishwa kwa ulinzi katika eneo la mashariki mwa Donetsk.
Katibu Mkuu mpya wa NATO afanya ziara ya kwanza Ukraine
Mark Rutte ambaye ndiye katibu mkuu mpya wa jumuiya ya kujihami ya NATO, amefanya ziara yake ya kwanza kabisaa Ukraine.
Urusi yaishambulia mikoa 15 ya Ukraine
Vikosi vya Urusi vimefanya mashambulizi ya droni katika mikoa 15 ya Urusi usiku wa kuamkia leo.
Zelensky aomba msaada zaidi wa kijeshi
Zelenskiy aendelea kutoa wito kwa washirika wake wa magharibi kuipa Ukraine silaha zaidi.
Urusi yauteka mji muhimu wa mashariki mwa Ukraine
Kutekwa kwa mji huo wenye wakaazi 14 elfu ni mafanikio makubwa kwa Urusi katika miezi kadhaa ya vita huko mashariki.
Ukraine yachunguza kuuawa wanajeshi 16
Ukraine imeanzisha uchunguzi wa mauaji ya wanajeshi wake 16 wafungwa wa kivita kwa kupigwa risasi na vikosi vya Urusi.
02.10.2024 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Israel itaendelea kufanya mashambulizi kote Mashariki ya Kati kufuatia shambulizi la Iran. Ukraine yachunguza mauaji ya wanajeshi wake wafungwa wa kivita waliouwawa na Urusi. Na Wabunge wa Kenya waridhia mjadala wa kumuondoa madarakani naibu wa rais Rigathi Gachagua.
Mashambulizi ya Urusi yaua sita Ukraine
Urusi umelishambulia soko moja la mji wa kusini mwa Ukraine wa Kherson na kuuwa watu sita na kuwajeruhi wengine watatu.
Rutte: "Sina hofu na utawala ujao wa Marekani"
Katibu Mkuu wa zamani wa NATO Jens Stoltenberg anakabidhi madaraka baada ya kuongezewa muda kwa mara tatu.
Watu saba wauawa kwa shambulizi la Urusi nchini Ukraine
Ofisi ya mwendesha mashtaka wa mji wa Kherson imesema kuwa mji huo umeshambuliwa kwa makombora.
01.10.2024 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Korea Kaskazini yaikosoa Marekani na washirika wake kwa uchochezi katika eneo la Asia Pasifiki. Ukraine yavunjwa moyo na hatua ya Uswisi kuunga mkono mpango wa amani uliopendekezwa na China na Brazil. Na nyota wa mchezo wa kikapu raia wa Congo na Marekani Dikembe Mutombo aaga dunia.
Ukraine yavunjwa moyo na Uswisi kuhusu mpango wa amani
Marekani na washirika wake wa Ulaya wameukataa mpango huo
Putin asema Urusi itatimiza malengo yote yaliyowekwa Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema Moscow itatimiza malengo yote ambayo imejiwekea nchini Ukraine.
Urusi yaishambulia tena Kiev kwa droni
Jeshi la anga la Ukraine linasema limezidunguwa droni kadhaa zilizorushwa na Urusi kwenye mji mkuu, Kiev.
Urusi yaushambulia mji wa Kiev kwa droni
Serikali za nchi za Magharibi zinaituhumu Iran kwa kuipa Urusi droni na makombora lakini Iran imekanusha madai hayo.
Urusi yaushambulia kwa makombora mkoa wa Zaporizhzhia
Vikosi vya Urusi vimeushambulia mji wa Zaporizhzhia nchini Ukraine kwa makombora na kuwajeruhi takriban watu 16.
Urusi yadungua droni 126 za Ukraine
Urusi imedungua droni 125 za Ukraine zilizovurumkishwa usiku kucha huku jengo la makaazi ya raia lilishambuliwa.
Matangazo ya Mchana 28.09.2024
Jeshi la Israel lasema limemuuwa Kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah // Ukraine yasema mashambulizi ya Urusi kwenye hospitali yaua watu saba // Umoja wa Mataifa umesema watu 3,661 waliuawa 2024 katika ghasia za Haiti
Mashambulizi ya Urusi katika hospitali yaua watu saba
Watu saba wameuawa kufuatia mashambulizi mawili ya Urusi kwenye hospitali ya mji wa mpakani wa Sumy nchini Ukraine.
China na Brazil zaonya dhidi ya matumizi ya nyuklia Ukraine
China na Brazil zimetoa wito dhidi ya matumizi au kitisho chochote cha silaha za nyuklia nchini Ukraine.
Pakistan yakemea vita vya Israel huko Gaza
Mzozo wa Mashariki ya Kati umetawala hotuba katika hadhara Kuu ya Umoja wa Mataifa.
Urusi na Ukraine zaendelea kupambana vikali
Jeshi la Ukraine halikutoa taarifa yoyote kuhusu madai ya Urusi.
Trump akutana na Rais Zelensky mjini New York
Trump amekutana na Zelensky baada ya kumshambulia kiongozi huyo kukataa kufikia makubaliano ya kumaliza vita.
Marekani yaimwagia Ukraine msaada wa mabilioni
Tangazo la msaada huo wa nyongeza limetolewa wakati Biden alipokutana na Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine.
Ukraine: Watu watatu wauawa kwenye shambulizi la Urusi
Wanahabari hao wanadaiwa kuripoti wakiwa katika eneo la Kursk la Urusi linalokaliwa na vikosi vya Ukraine.
Mahmoud Abbas: Acheni kuipatia Israel silaha
Vita hivyo vinavyoshuhudiwa ulimwenguni vimeendelea kupewa kipaumbelewe katika hotuba za Alhamisi.
Biden awaalika viongozi wa dunia kwa mkutano kuhusu Ukraine
Biden ataanza ziara ya siku tatu nchini Ujerumani kuanzia Oktoba 10.
Mtu mmoja auwawa katika shambulizi la Urusi nchini Ukraine
Jeshi limesema mifumo ya ulinzi wa makombora umeziharibu droni 66 na makombora manne.
Urusi yafanya mashambulizi Ukraine usiku kucha
Vikosi vya Ukraine vimedungua droni 66 na makombora 4 yaliyovurumishwa na Urusi katika mashambulizi ya usiku kucha.
Biden: Mpango wa kuisaidia zaidi Ukraine kutangazwa Alhamisi
Washington inatarajia kutangaza msaada wa kijeshi wenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 8 kwa Ukraine.
Tshisekedi: Rwanda iwekewe vikwazo kwa kuwaunga mkono M23
Katika hotuba yake, Tshisekedi imeituhumu Rwanda kuhusika katika ghasia za Mashariki mwa Kongo.
Ukraine: Urusi inapanga kushambulia mitambo ya nyuklia
Rais wa Ukraine Volodymryr Zelenskiy amesema Urusi inapanga kushambulia mitambo ya nyuklia nchini mwake.
Ukraine yasema imedungua droni 28 na makombora 4 ya Urusi
Wakati huo huo, mashambulizi katika eneo la Kharkiv mapema leo yaliharibu jengo kubwa linalotumika kuegesha ndege.
Zelensky asema hakuna mazugumzo ya amani ya Urusi
Zelensky amesema hakuna uwezekano wa mazungumzo ya amani na Urusi na kuutaka ulimwengu kumlazimisha Putin akubali amani.
Urusi yaendeleza mashambulizi katika mji wa Kharkiv
Mashambulizi ya makombora yamewauwa watu watatu na kuwajeruhi zaidi ya 22 huku wengine wakihofiwa kukwama.
Ukraine yabaini vipuri vya China kwenye silaha za Urusi
Ukraine imesema asilimia 60 ya vipuri vya silaha za Urusi katika uwanja wa mapambano nchini Ukraine vinatoka China.
Shambulizi la Urusi nchini Ukraine lakatiza huduma za umeme
Jeshi la anga la Ukraine limesema limedungua droni 66 lakini likapoteza mwelekeo wa droni nyingine 13 kati ya 81.
Hali kinu cha nyuklia cha Kursk bado mbaya - Grossi
Rafael Grossi, amesema hali bado ni mbaya kwenye kinu cha nyuklia cha Kursk nchini Urusi.
Zelensky: Umakini wa Marekani utaharakisha mwisho wa vita
Zelensky amesema uamuzi makini wa uongozi wa Marekani utaharakisha kukomesha uvamizi wa Urusi kufikia mwakani.
Viongozi wa dunia kuhutubia Baraza Kuu la UN kuanzia Jumanne
Viongozi wa dunia wako jijini New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Urusi: Raia 56 wafa na 256 walijeruhiwa hadi Septemba 5
Serikali ya Moscow imesema raia wapatao 131,000 wameondoka eneo hilo la Kursk linaloshuhudia mapigano makali.
Urusi yaushambulia tena mji wa Kharkiv
Urusi imefanya mashambulizi mapya mjini Kharkiv, ambapo majengo kadhaa yamebomolewa na watu wapatao 20 kujeruhiwa.
Urusi yaushambulia mji wa Kharkiv na kujeruhi watu 21
Urusi imekuwa ikiulenga mara kwa mara mji wa Kharkiv, ambao ni wa pili kwa ukubwa Ukraine karibu na mpaka wa Urusi.
Zelensky atia saini sheria ya ongezeko la pesa kwa jeshi
Ukraine imepokea zaidi ya dola bilioni 98 za msaada kutoka nje ya nchi tangu vita vilipoanza mnamo Februari 2022.
Shambulizi la Urusi laua watatu nchini Ukraine
Mikoa kadhaa nchini Ukraineiliripoti pia mashambulizi ya anga ya Urusi usiku kucha.
Scholz asema hatoipa Ukraine makombora ya Taurus
Kauli ya Scholz ameitoa licha ya Kyiv kuwahimiza washirika wake wa Magharibi kuipa silaha ili kukabiliana na Urusi.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 22 wa 85
Ukurasa unaofuatia