You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
05.11.2024 : Taarifa ya habari za asubuhi
Sikiliza taarifa ya habari za asubuhi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW
Baerbock awasili Kiev kusisitiza mshikamano
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amezuru Ukraine Jumatatu kusisitiza "uungwaji mkono thabiti".
Baerbock ataka kuipiga jeki Ukraine akiwa ziarani Kyiv
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock, amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuisaidia Ukraine.
Guterres aonya kutumika kwa wanajeshi wa Pyongyang, Ukraine
Guterres asema anaunga mkono juhudi zote za kutafuta amani ya kudumu kwa Ukraine.
Chama cha BSW chapinga Ujerumani kuipa Ukraine silaha
Chama cha BSW chashinikiza msimamo wake dhidi ya silaha kwa Ukraine
Zelenskiy: Ukraine ilipigwa mabomu 900 ndani ya wiki moja
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amewataka washirika wa kigeni kuongeza msaada wa ulinzi wa angani.
Urusi yaishambulia miundombinu ya mji wa Kyiv kwa droni
Mashambulizi ya droni ya Urusi yaharibu miundombinu muhimu ya Ukraine
Shambulizi la Urusi laua mmoja na kujeruhi watu 46 Ukraine
Volodymyir Zelenskiy akiwatolea mwito washirika wake wa magharibi kuchukua hatua kuisaidia nchi yake.
Victor Orban ataka Trump kushinda urais Marekani
Raia wa Marekani wanapiga kura siku ya Jumanne kumchagua rais mpya.
02.11.2024- Matangazo ya mchana
Israel yashambulia maeneo 120 ya wapiganaji wa Hamas na Hezbollah ++ Rais wa Ukraine aseme mataifa ya magharibi yaache kutazama na yachukue hatua za kukabiliana na wanajeshi wa Korea Kaskazini++Na WFP yasema haitochukua jukumu la UNRWA katika ukanda wa Gaza.
Zelenskiy: Mataifa ya magharibi mnapaswa kutusaidia zaidi
Marekani ilisema kuna wanajeshi 10,000 wa Korea Kaskazini nchini Urusi wakiwemo 8,000 katika eneo la Kursk.
Korea Kaskazini yasema inaiunga mkono Urusi hadi mwisho
Jeshi la Ukraine limeripoti kuwa Urusi ilifanya zaidi ya mashambulizi 2,000 ya droni kote Ukraine na 1,185 zikidunguliwa
Korea Kaskazini kusimama na Urusi hadi ipate ushindi Ukraine
Korea Kaskazini imesema kuwa itasimama na Urusi hadi itakapopata ushindi katika vita vyake nchini Ukraine.
UN: Urusi inafanya uhalifu dhidi ya binadamu Ukraine
Hatua ya Urusi kuwatesa raia wa Ukraine na wafungwa wa kivita ni uhalifu dhidi ya binadamu. Haya ni kwa mujibu wa wataal
Korea Kaskazini yarusha kombora la kisasa zaidi la nyuklia
Wachambuzi wanasema jaribio hilo linalenga kuondoa nadhari kwenye hatua ya Pyongyang kupelekea jeshi Urusi.
Shambulizi la droni la Urusi lawajeruhi watu tisa mjini Kyiv
Shambulizi la Urusi mjini Kyiv usiku wa kuamkia leo limewajeruhi watu tisa, akiwemo msichana wa umri wa miaka 11.
Ukraine yatangaza zoezi jipya la kuwasajili wanajeshi
Hayo ni wakati Marekani na ikisema baadhi ya wanajeshi wa Korea Kaskazini wako katika mkoa wa Urusi wa Kursk.
Marekani: Korea Kaskazini imetuma maelfu ya wanajeshi Urusi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini, Choe Son Hui, amewasili nchini Urusi Jumanne.
Choe Son Hui, kufanya ziara fupi Urusi
Waziri Choe Son anafanya ziara huku kukiwa na tuhuma juu ya nchi yake kutaka kuingia katika vita vya Urusi na Ukraine.
NATO: Wanajeshi wa Korea Kaskazini wamepelekwa Urusi
Amesema kuongezeka kwa ushirikiano wa kijeshi kati ya Urusi na Korea Kaskazini ni kitisho kwa usalama.
NATO: Wanajeshi wa Korea Kaskazini tayari wako Urusi
Watu wawili wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la Urusi dhidi ya mji wa Kherson nchini Ukraine.
Vikosi vya Urusi vyadai kusonga mbele mashariki mwa Ukraine
Wizara ya ulinzi ya Urusi imeripoti kukikomboa kijiji cha Izmailovka, ambacho kabla ya mzozo kilikuwa na watu 200.
Putin aonya juu ya Kyiv kutumia makombora ya masafa marefu
Vita vya miaka miwili na nusu vya Ukraine, vimesababisha msuguano mkubwa baina ya Urusi na nchi za Magharibi.
26.10.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Miongoni mwa tuliyonayo kwenye taarifa a habari asubuhi hii ni pamoja na Israel yafanya mashambulizi nchini Iran: Wakuu wa kundi la G7 wakubaliana kuhusu mkopo kwa Ukraine uliotokana na mali za Urusi na Umoja wa Mataifa wasema Vita vimewaathiri zaidi ya wanawake milioni 600 pamoja na wasichana. Sikiliza kwa kina hapa.
Viongozi wa G7 wakamilisha mkopo wa Ukraine
Mali za Urusi za kiasi cha dola bilioni 280 kama akiba ya Benki Kuu zilizuiwa chini ya vikwazo ilivyowekewa taifa hilo.
Scholz ahofia kutumwa wanajeshi wa Korea kaskazini, Ukraine
Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amearifu juu ya kupelekwa wanajeshi wa Korea Kaskazini nchini Ukraine hivi karibuni.
Ukraine: Wanajeshi wa Korea Kaskazini kuanza vita karibuni
Ukraine yasema wanajeshi wa Korea Kaskazini kuingia vitani wikiendi hii
Putin asema Marekani itaamua yenyewe uhusiano baina yao
Uholanzi yasema imebaini kuwa wanajeshi wa Korea Kaskazini wanaisadia Urusi huko Ukraine.
25.10.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Miongoni mwa yaliyomo kwenye taarifa ya habari ya asubuhi ni Rais wa urusi Vladimir Putin ahitimisha mkutano wa kilele wa kundi la BRICS: Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres asema uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ni kinyume cha sheria: Na Bahamas yataka mazungumzo ya kweli kuhusu fidia kutokana na historia ya utumwa. Ungana nasi.
Guterres: Uvamizi wa Urusi umekiuka sheria za kimataifa
Urusi iliivamia kikamilifu Ukraine mwezi Februari, 2022 na vita kati yao vimeendelea bila ya kuwepo dalili ya amani.
Scholz apinga ombi la Ukraine kujiunga na NATO kwa sasa
Zelenskyy aliwataka viongozi wa Ulaya kukubali ombi la kuipa uanachama wa NATO kama sehemu ya "mpango wake wa ushindi".
Rais Vladimir Putin ahitimisha mkutano wa kilele wa BRICS
Uhusiano kati ya Urusi na Marekani umedorora kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Ukraine mwaka 2022.
BRICS: Putin asema kuishinda Urusi ni ndoto isiyofikirika
Urusi pia imesisitiza kuundwa kwa mfumo mbadala wa malipo wa huduma za benki kimataifa badala ya mfumo wa SWIFT
Xi Jingping asema ulimwengu unapitia "changamoto kubwa"
Ametowa mwito huo, ikiwa ni siku ya mwisho ya mkutano huo wa BRICS unaofanyika katika mji wa Urusi wa Kazan.
Mali za Urusi zilizozuiwa Ulaya kutumika kuikopesha Ukraine
Baraza la Umoja wa Ulaya limeunga mkono mpango wa mataifa ya G7 wa kutoa mkopo wa mabilioni ya ya euro kwa Ukraine.
Korea Kaskazini yashtumiwa kwa kuwapeleka wanajeshi Urusi
Bunge la Urusi laidhinisha mkataba wa ulinzi na Korea Kaskazini unaoagiza kusaidiana kijeshi wakati wa uchokozi.
Uingereza na Ujerumani kuimarisha ushirikiano wa ulinzi
Uingereza na Ujerumani kuimarisha ushirikiano wa ulinzi
Putin akabiliwa na miito ya amani kwa vita vyake na Ukraine
Putin akabiliwa na miito ya amani katika mkutano wa kilele wa BRICS
BRICS yataka vita vikomeshwe Gaza, Ukraine
BRICS inaharakisha mfumo mbadala wa malipo katika biashara ya kimataifa kuuepuka mfumo wa Magharibi.
Katibu Mkuu UN Guterres kushiriki Mkutano wa BRICS Urusi
Viongozi takribani 20 wakiwemo wa China, India, Uturuki na Iran wanahudhuria mkutano wa BRICS mjini Kazan, Urusi.
Mkutano wa BRICS: Putin akutana na viongozi mbalimbali
Urusi yausifu mkutano huo kuwa tukio kubwa zaidi kuwahi kuandaliwa na Moscow.
Umoja wa ulaya kuikopesha Ukraine Euro bilioni 35
Umoja wa ulaya kuikopesha Ukraine Euro bilioni 35
India yataka kumalizika kwa vita kati ya Urusi na Ukraine
India yataka kumalizika kwa vita kati ya Urusi na Ukraine
Korea Kaskazini yakanusha kupeleka wanajeshi Urusi
Korea Kaskazini yakanusha kupeleka wanajeshi Urusi
Urusi ni mwenyeji wa mkutano wa BRICS mjini Kazan
Urusi ni mwenyeji wa mkutano wa siku mbili wa BRICS mjini Kazan
Uingereza kuipatia Ukraine mkopo wa dola bilioni 2.94
Fedha hizo ni sehemu ya mkopo uliopangwa kutolewa na nchi za G7.
Ukraine yamlaumu Guterres kukubali mwaliko wa Putin
Lawama hizo zimetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine Andrii Sybiha.
Urusi yaushambulia mji wa Kiev kwa ndege za droni
Mkuu wa utawala wa kijeshi mjini Kiyv amesema usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku mwingine wa wasiwasi.
Marekani yatangaza msaada wa dola milioni 400 kwa Ukraine
Rais wa UAE Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan amwambia rais Putin kwamba yuko tayari kuunga mkono juhudi za amani .
Urusi yafanya mashambulizi ya usiku kucha mjini Kyiv
Maafisa wa Ukraine wathibitisha kuhusu mashambulizi ya usiku kucha ya droni za Urusi
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 20 wa 85
Ukurasa unaofuatia