You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Zelenskiy: Mwaka 2025 kuamua atakayeshinda vita Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema Jumanne kuwa mwaka 2025 ndio mwaka utakaoamua ni nani atakayeshinda vita vin
Vita vya Urusi na Ukraine vyaingia siku elfu moja
Ukraine imesema itaendelea kupambana na kuzuia uvamizi wa Urusi Jumanne ikiwa zimetimia siku elfu moja tangu Kremlin.
Ikulu ya Kremlin imeonya Ukraine kutumia makombora
Ikulu ya Kremlin imeonya kuhusu uamuzi uliotangazwa na Marekani wa kuiruhusu Ukraine kutumia makombora yake ya masafa.
Iran imekosoa kuwekewa vikwazo vipya na EU na Uingereza
Iran imekosoa hatua ya kuwekewa vikwazo vipya na EU na Uingereza
Ukraine: Uamuzi wa Marekani utabadili mwelekeo wa vita
Ukraine imesisitiza kuwa kadiri Ukraine inavyoweza kushambulia, ndivyo vita vitakavyopungua.
Viongozi wa G20 watoa wito wa usitishwaji vita Gaza,Lebanon
Viongozi hao wa G20 wamehimiza pia amani nchini Ukraine.
Marekani yaruhusu makombora yake kutumika dhidi ya Urusi
Rais Joe Biden ameiruhusu Ukraine kutumia makombora ya masafa marefu kuishambulia miundombinu ya kijeshi ndani ya Urusi.
Kansela Olaf Scholz ashinikizwa kutowania tena ukansela
Scholz alitangaza nia yake ya kuwania tena ukansela miezi kadhaa kabla ya kuporomoka kwa serikali wiki iliyopita.
Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yawaua watu kadhaa
Amnesty International limesema vita vinavyoendelea vya Urusi dhidi ya Ukraine ni sawa na uhalifu wa kivita.
Biden airuhusu Ukraine kutumia makombora ya masafa marefu
Kurejea kwa Trump madarakani kunaendelea kuzusha hofu kuhusu mustakabali wa uungaji mkono wa Marekani kwa Kyiv.
Nchi za G7 zasisitiza kuendelea kuiunga mkono Ukraine
Nchi za G7 zasisitiza kuendelea kuiunga mkono Ukraine na kiuiwajibisha Urusi kwa uvamizi wake
Urusi yaishambulia Ukraine kwa nakombora na droni
Ukraine yashambuliwa na Urusi kwa makombora na ndege zisizo na rubani
Zelenskiy ataka kumaliza vita mwaka ujao
Zelenskiy amesema anataka kumaliza vita kwa diplomasia, huku Moscow ikikubali mazungumzo iwapo Trump atayaanzisha.
Zelensky anasema anataka kumaliza vita kwa diplomasia
Zelensky amesema angetamani vita na Urusi vimalizike mwaka ujao kwa njia za kidiplomasia,
Zelensky akosoa mazungumzo ya Scholz na Putin
Scholz alizungumza na Putin kwa saa moja, hayo yakiwa ni mazungumzo ya kwanza kati ya viongozi hao tangu 2022.
Scholz, Putin wazungumza kwa mara ya kwanza tangu 2022
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Urusi Vladimir Putin hii leo.
UM: Urusi imezidisha mashambulizi ya droni Ukraine
Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Urusi limezidisha mashambulizi ya droni na kuwalenga raia nchini Ukraine.
Urusi yaishambulia Ukraine, mtu mmoja auawa, 10 wajeruhiwa
Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana na kusababisha uharibifu mkubwa na hasa kwenye miundombinu.
Shambulio la Urusi kwenye mji wa Odessa laua mtu 1
Mtu mmoja ameuawa na wengine 10 wamejeruhiwa kufuatia shambulio la anga la Urusi kwenye mji wa bandari wa Odesa.
Urusi iko tayari kwa mazungumzo ya kumaliza vita Ukraine
Donald Trump ameahidi kuvimaliza vita hivyo kwa haraka, bila kueleza njia atakayotumia.
Trump, Biden wajadili vita vya Ukraine na Mashariki ya Kati
Viongozi hao wawili wamejadili masuala muhimu kuhusu usalama wa kitaifa na sera za ndani
Zelensky amshukuru Kansela Scholz katika mazungumzo yao
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
US kuongeza misaada Ukraine kabla ya Trump kuingia mamlakani
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Antony Blinken amesema nchi yake itazidisha misaada Ukraine kabla ya Januari 20.
Antony Blinken na Rutte wa NATO wakutana kuhusu vita Ukraine
Antony Blinken na Mark Rutte, wamekutana Brussels kujadili msaada kwa vita nchini Ukraine
Blinken akutana na mkuu wa Jumuiya ya NATO
Washirika wa NATO wanahofia huenda Trump akajaribu kuilazimisha Ukraine kukubali amani kwa masharti ya Urusi.
Tahadhari ya mashambulio ya anga yatolewa kote Ukraine
Ukraine imetoa tahadhari ya mashambulio ya kutokea angani katika maeneo yote nchini humo.
Waukraine waliopo Ulaya wajiunga na "Ukrainian Legion"
Watu waliojitolea wameanza kupewa mafunzo ya msingi ya kijeshi kwenye kambi ya kijeshi ya Poland.
Blinken aelekea Brussels kwa mazungumzo kuhusu Ukraine
Blinken atajadili uungaji mkono kwa Ukraine katika ulinzi wake dhidi ya uvamizi wa Urusi.
China, Urusi lazima zipambane na udhibiti wa Marekani
Mazungumzo hayo yamefanyika huku rais wa zamani wa Urusi akiwashtumu viongozi wa Ulaya kwa kuchochea mzozo wa Ukraine.
Korea Kaskazini yaidhinisha mkataba wa ulinzi na Urusi
Mataifa hayo yanalenga kusaidiana kijeshi ikiwa mmoja wao atashamuliwa na kushirikiana kupinga vikwazo vya Magharibi.
Vikosi vya Ukraine vyakabiliana na askari 50,000 wa Urusi
Rais Zelensky ameongeza kuwa Ukraine itaimarisha vikali safu yake kwenye maeneo ya Pokrovsk na Kurakhove mashariki.
Urusi na Ukraine zashambuliana vikali na droni
Mashambulizi hayo yamejiri licha ya mazungumzo yanayoripotiwa kufanywa baina ya Putin na rais mteule wa Marekani Trump
Rais mteule wa Marekani Trump azungumza na Rais Putin
Donald Trump tayari ameahidi kutatua mzozo huu wa vita kati ya Urusi na Ukraine wakati wa kampeni zake za urais.
Trump na Scholz wakubaliana kuendeleza ushirikiano
Kurejea upya kwa Donald Trump kama rais wa Marekani kumebadilisha mkondo na mitizamo ya viongozi wengi ulimwenguni.
Kansela Olaf Scholz aashiria uchaguzi wa mapema zaidi
Hatua hiyo ingeweza kufungua njia ya uchaguzi wa mapema nchini Ujerumani baada ya muungano wa serikali yake kuvunjika.
Rais Biden na Trump kujadili vita vya Ukraine na mengineyo
Marekani imekuwa mfadhili mkubwa Ukraine kwenye vita kati yake na Urusi tanmgu mwaka 2022 ilipovamiwa rasmi.
Droni 62 kati ya 45 za Urusi zadunguliwa Ukraine
Jeshi la anga la Ukraine mapema leo limesema limezidungua droni 62 kati ya 145 zilizorushwa na Urusi nchini humo.
Donald Tusk kukutana na wenzake wa Ulaya kuijadili Ukraine
Tusk amesema ni wazi hali mpya ya siasa za ulimwengu ni changamoto kubwa kwa kila mtu
Josep Borrell afanya ziara fupi Kyiv
Borrell: Ujumbe uko wazi kwamba tumeiunga mkono Ukraine kuanzia mwanzo na tutaendelea kufanya hivyo kwa muda wote.
Moscow: Putin yuko tayari kuzungumza na Trump kuhusu Ukraine
Hata hivyo Trump alikieleza kituo cha NBC kwamba hajazungumza na Putin tangu kuchaguliwa kwake kuwa rais wa taifa hilo.
Ukraine yasema Urusi imerejesha miili ya wanajeshi wake 563
Taarifa hiyo pia imesema miili mingine 154 kati ya hiyo ilirejeshwa kutoka vyumba vya kuhifadhia maiti nchini Urusi.
Trump amteua Susie Wiles kuwa Mtendaji Mkuu wa Ikulu
Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua Susie Wiles kuwa afisa mkuu wa utumishi wa ikulu ya White House.
Urusi yafanya mashambulizi ya usiku kucha nchini Ukraine
Jeshi la anga la Ukraine limesema vikosi vya Urusi vilirusha droni 92 na makombora matano katika maeneo 12 ya nchi hiyo.
Urusi yatoa wito wa mazungumzo kuhusu vita vya Ukraine
Haya yamesemwa na mkuu wa Baraza la Usalama la Urusi, Sergei Shoigu, wakati Ukraine ikiendelea kushambuliwa na Urusi.
Nchi za G7 zalaani ushirikiano wa Korea Kazkazini na Urusi
Kuna uwezekano wa kutumika kwa wanajeshi wa Pyongyang katika uwanja wa vita nchini Ukraine.
Askari wa Ukraine wakabiliana na vikosi vya Korea Kaskazini
Zelensky asema askari wa Ukraine walikabiliana na vikosi vya Korea Kaskazini.
06.11.2024: Taarifa ya habari za asubuhi
Sikiliza taarifa ya habari za asubuhi ya DW Kiswahili
Shambulio la Urusi lauwa watu 6 Zaporizhzhya
Shambulizi la Urusi lasababisha vifo vya watu 6 Zaporizhzhya.
Zelensky adai wanajeshi 11,000 wa Korea Kaskazini wako Kursk
Zelensky amedai wanajeshi 11,000 wa Korea Kaskazini wamewasili katika mpaka wa nchi yake na Urusi kwenye eneo la Kursk.
Wanajeshi wa K. Kaskazini wajiandaa kuingia Ukraine
Zelenskiy aonya wanajeshi 11,000 wa Korea Kaskazini wako mpakani tayari kuingia Ukraine
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 19 wa 85
Ukurasa unaofuatia