You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
SIPRI: Mapato ya silaha duniani kwa mwaka 2023 yaliongezeka
Ripoti ya SIPRI imebainisha kwamba makampuni makubwa 100 ya silaha duniani yaliongeza mauzo ya silaha mwaka 2023
Kansela Scholz afanya ziara ya kushtukiza mjini Kyiv
Scholz amefanya ziara ya kushtukiza nchini Ukraine kuthibitisha uungaji mkono wa Berlin kwa Kyiv katika vita na Urusi.
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz azuru Ukraine
Ujerumani imekuwa taifa kinara wa Ulaya kuisaidia kijeshi na kiuchumi Ukraine tangu ilipovamiwa na Urusi Februari 2022.
Rais Zelensky ataka Marekani iipigie chapuo kuingia NATO
Rais Zelensky aitaka Marekani iushawishi Umoja wa Ulaya ukubali kuikaribisha Ukraine NATO
Urusi yatangaza bajeti kubwa ya ulinzi kwa mwaka 2025
Urusi yatangaza bajeti kubwa ya ulinzi kwa mwaka 2025
Mkuu mpya wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya azuru Kyiv leo
Mkuu mpya wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya awasili Kyiv leo
Zelensky aiomba NATO kuimarisha ulinzi kwenye maeneo yake
Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana, wakati Ukraine ikiruhusiwa kutumia silaha za magharibi.
Kim Jong Un aahidi kuendelea kuisaidia Urusi kivita
Kim ameikosoa hatua ya mataifa ya magharibi yakiongozwa na Marekani kwa kuiruhusu Ukraine kuyashambulia maeneo ya Urusi.
Zelenskiy apendekeza ulinzi wa NATO kustisha vita na Urusi
Rais Volodymyr Zelenskiy amesema Ukraine inaweza kukubali kusitisha vita ikiwa NATO itaipa ulinzi.
Biden: Ukraine inahitaji kuendelea kusaidiwa kwa udharura
Biden ameonekana kupigia debe uungwaji mkono mkubwa kabla ya Rais mteule Donald Trump kuchukua madaraka mwezi Januari.
Putin aitishia Kyiv kwa makombora mapya ya masafa ya kati
Rais Vladimir Putin, ametishia kutumia makombora mapya ya masafa ya kati dhidi ya maeneo zaidi nchini Ukraine.
Putin: Mashambulizi ya Ukraine ni ujumbe mkali kwa Magharibi
Zelensky amedai mabomu ya kutawanyika yalirushwa katika kile alichokiita "kuongezeka kwa kuchukiza kwa mgogoro.
Mashambulizi ya Urusi yawaacha watu milioni bila umeme
Urusi imefanya mashambulizi ya pili kwa ukubwa mwezi huu katika miundo mbinu ya nishati ya Ukraine Alhamis na kusababish
Mashambulizi ya Urusi yawaacha wengi bila umeme, Ukraine
Shambulizi la pamoja la kombora na droni lilikata umeme na kuathiri zaidi ya wateja milioni moja magharibi mwa Ukraine.
Taarifa ya Habari za Asubuhi 28.11.2024
Biden aandaa msaada wa silaha wa dola mil. 725 kwa Ukraine
Rais Biden anataka kuiimarisha Ukraine katika wiki zake za mwisho kabla ya kuondoka madarakani mwezi Januari.
Makamishna wapya wa Halmashauri kuu ya Ulaya waidhinishwa
von der Leyen aonya kwamba hakuna muda wa kupoteza wa kuimarisha ulinzi na ushindani wa Umoja wa Ulaya.
Ukraine yarusha makombora ya ATACMS kuelekea Urusi
Ukraine kwa mara ya kwanza imeishambulia Urusi kwa kutumia silaha za Marekani baada ya Marekani kuidhinisha matumizi ya silaha hizo katika eneo la Urusi. Lengo ni kupunguza uwezo wa Moscow wa kuendeleza. Urusi imeelezea shambulio hilo kama kichochea kinachoashiria awamu mpya ya vita. #Kurunzi
Jumuiya ya NATO yaihakikishia Ukraine msaada
Nchi za magharibi zimejibu kwa kujiamini Jumanne vitisho vya mashambulizi ya makombora na matumizi ya silaha za nyuklia.
27.11.2024 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Jumuiya ya kujihami NATO yasisitiza kuendelea kuisaidia Ukraine. Nchi za G7 zamuunga mkono kiongozi wa upinzani wa Venezuela. Na Serikali ya Somalia yakataa matokeo ya uchaguzi wa eneo la kusini la Jubaland
Urusi yaapa kulipiza kisasi dhidi ya mashambulizi ya Ukraine
Marekani iliipa Ukraine ruhusa ya kutumia silaha hizo kushambulia eneo la Urusi mapema mwezi huu.
NATO yajadili kuimarisha utengenezaji silaha Ukraine
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius amesema kipaumbele ni kuunda, kununua droni zinazotumia teknolojia ya AI.
Ukraine na Urusi zashambuliana kwa droni na makombora
Moscow na Kyiv zimekuwa zikiongeza mashambulizi ya droni na makombora katika siku za hivi karibuni.
Nchi za NATO kuimarisha utengenezaji silaha Ukraine
Mawaziri wa ulinzi wa baadhi ya mataifa ya Ulaya wameanza mkutano wao wa siku mbili mjini Berlin ambako wanajadili hatua
Mji wa Kiev washambuliwa kwa droni
Mashambulizi hayo pia yaliwajeruhi watu wanane katika mji wa bandari wa Odessa kusini mwa Ukraine.
Mawaziri wa G7 wakutana kujadili mzozo wa Gaza na Ukraine
Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa kundi la G7, wanakutana nje kidogo ya mji mkuu wa Italia, Roma.
Urusi yashambulia miundombinu ya nishati Ukraine
Wanajeshi wa Urusi wameshambulia usiku wa kuamkia leo miundombinu ya nishati kusini mwa Ukraine katika mkoa wa Mykolaiv.
Mawaziri wa G7 kujadili mzozo wa Gaza na Ukraine
Mawaziri wa mambo ya nje wa kundi la G7 wanakutana kujadili kuhusu vita vya nchini Ukraine.
Wahouthi waisaidia Urusi kuwapeleka Wayemen kupigana Ukraine
Usajili nchini Yemen unaratibiwa na kampuni iliyoasisiwa na mwanasiasa wa Houthi
Shambulizi la droni la Ukraine lazua moto Kaluga, Urusi
Mabaki ya droni yalianguka katika kiwanja cha kampuni ya viwanda na kuanzisha moto
Ukraine na Urusi zazima mashambulizi kadhaa ya droni
Jeshi la Ukraine limesema kwa jumla lilidungua droni 50 kati ya 73 za Urusi zilizorushwa usiku katika mikoa ya Ukraine.
Zelensky anamshutumu Putin kwa uhalifu mpya wa kivita
Zelensky anamshutumu Putin kwa uhalifu mpya wa kivita
Putin aapa majaribio zaidi ya kombora lililorushwa Ukraine
Rais Zelensky wa Ukraine amesema tayari anatafuta mifumo mipya ya ulinzi wa angani kutoka kwa washirika wake.
Urusi: Kombora dhidi ya Ukraine onyo kwa nchi za Magharibi
Ikulu ya Kremlin imesema shambulio la kombora la Alhamisi dhidi ya Ukraine ni ujumbe muhimu kwa mataifa ya Magharibi.
Seoul: Urusi iliipa Korea Kaskazini mifumo ya ulinzi wa anga
Korea Kusini imesema, Urusi iliipa Pyongyang mifumo ya ulinzi wa anga ili iwapeleke wanajeshi waisaidie katika vita.
Putin: Vita vya Ukraine vinachukua mkondo wa kidunia
Serikali ya Ukraine imetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua ya haraka dhidi ya Urusi.
Putin asema vita vya Ukraine vinachukua mkondo wa kidunia
Ametangaza kuwa Urusi imetumia aina mpya ya kombora la masafa ya kati, kushambulia kituo cha kijeshi cha Ukraine.
Vita vya Ukraine vinachukua sura mpya, nini kitatokea?
Ili kuchambua yanayoendelea tumezungumza na mchambuzi wa siasa za kimataifa kutoka Marekani Profesa David Monda.
Zelensky asema Urusi imefyetua kombora la kuvuka mabara
Umoja wa Ulaya wasema shambulio la Urusi, Dnipro huenda likabadili mkondo wa vita Ukraine
Zelensky: Urusi inaitumia Ukraine kama eneo la majaribio
Zelensky amesema kombora lililotumika linalingana na ICBM, ingawa wataalamu wamesema huenda halikubeba kichwa.
Urusi yarusha kombora la kuvuka mabara dhidi ya Ukraine
Hiyo ni baada ya Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa kutumia makombora kutoka Marekani na Uingereza.
Ukraine yaishambulia Urusi na makombora ya Uingereza
Msemaji wa Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer amesema hawezi kuzungumzia ripoti hizo au masuala ya kiutendaji.
Rais Xi ahimiza amani Ukraine na usitishaji mapigano Gaza
Rais wa China Xi Jinping ameyasema hayo wakati akifanya ziara ya kiserikali katika mji mkuu wa Brazil, Brasilia.
Urusi yasema Biden amedhamiria kurefusha vita vya Ukraine
Marekani tayari ilikwishatoa ruhusa kwa Ukraine kutumia makombora yake ya masafa ya kati kuishambulia Urusi.
Zelensky: Marekani ikipunguza ufadhili, tutashindwa vita
Trump amekuwa akionyesha kupinga hatua ya utawala wa Biden kuipatia Ukraine mabilioni ya dola.
Mkutano wa G20 wahitimishwa Brazil
Mkutano huo wa siku mbili wa G20, ulihitimishwa na ombi la kuwezesha majadiliano ya COP29.
SIku 1,000 za vita vya Ukraine
Leo imetimia siku 1,000 tangu kuanza kwa uvamizi kamili wa Urusi nchini Ukraine. Vifo na uharibifu vimekuwa vya kushtusha, mamia kwa maelfu ya watu wamekufa, mamilioni kuporwa, na vita vimegharimu mabilioni ya dola. Wacha tutizame athari ya vita hivyo na je itagharimu kiasi gani kuijenga upya nchi hiyo?
Jeshi la Urusi lasema Ukraine imefyatua kombora la masafa
Jeshi la Urusi lasema Ukraine imefyetuwa makombora ya masafa marefu kutoka Marekani, katika mji wa Bryansk
Rais Volodymyr Zelensky ataka Urusi kushinikizwa zaidi
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameutolea wito Umoja wa Ulaya kuibana Urusi kuelekea kile ilichokiita amani ya haki.
Zelenskiy: Mwaka 2025 kuamua atakayeshinda vita Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema Jumanne kuwa mwaka 2025 ndio mwaka utakaoamua ni nani atakayeshinda vita vin
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 18 wa 85
Ukurasa unaofuatia