Kuelekea uchaguzi mkuu ujao nchini Uganda mwaka 2026, wanawake wamejitokeza na ilani yao ambayo wangependa izingatiwe na vyama vyote vya siasa ili kuhakikisha masuala yao muhimu yanapewa kipaumbele kuwawezesha kushiriki ipasavyo katika siasa, utawala na uchumi wa nchi.