Idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Kala-azar nchini Kenya imefikia watu 33 na maambukizi zaidi ya elfu moja katika kipindi cha miezi 4, na bado yanaendelea. Mlipuko huu unatupa taswira ya mapambano ya Afrika na magonjwa yaliyopuuzwa, na vilevile athari yake kwa jamii. Sikiliza makala ya Afya Yako iliyoandaliwa na Wakio Mbogho.