Uchawi na ushirikina ni hali inayoendelea kuathiri siasa barani Afrika. Baadhi ya wanasiasa hutuhumiwa kutumia waganga wa kienyeji kutafuta nguvu za kisiasa. Wanasiasa hao huamini kwamba uchawi unaweza kuwasaidia kushinda uchaguzi au kuzuia wapinzani huku wengine wakiamini kuwa uchawi unaweza kuzuia mikosi kutoka kwa wapinzani. Lubega Emmanuel anaangazia hali hiyo katika Makala Yetu Leo.