1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Tansania Dodoma 2025 | Präsidentin Samia Suluhu Hassan holt Nominierungsunterlagen für Präsidentschaftswahl ab
Picha: Florence Majani/DW

Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025

Tanzania itafanya Uchaguzi wake Mkuu Oktoba 29, 2025 ambapo wapigakura 37, 655,559 wamejiandikisha kupiga kura katika majimbo 272. Kwa mara ya kwanza chama tawala CCM kina mgombea mwanamke. Chama cha CHADEMA hakishiriki.