You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wapinzani wamtaka mwenyekiti wa IEBC kujiuzulu
Hoja hiyo inatolewa ikiwa kampeni za uchaguzi zikiwa zimepamba moto huku zikisalia siku 33 kuelekea uchaguzi mkuu
Kenya: Haki za binadamu zizingatiwe uchaguzi mkuu
Kutokana na baadhi ya wanansiasa wanawake kudhihakiwa mitandaoni,kunaleta wasiwasi kwa tume ya haki za binadamu Kenya.
Je, tume ya IEBC inakwamisha mapambano dhidi ya ufisadi?
EACC imegeukia kutafuta ushawishi wa viongozi wa kidini baada ya tume ya uchaguzi nchini humo IEBC kuwaidhinisha viongozi ambao uadilifu wao unatiliwa shaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa mwezi Agosti. Sikiliza mahojiano kati ya Sudi Mnette na mjuzi katika siasa za Kenya Profesa Macharia Munene kuhusu suala hilo.
IEBC yashindwa kuwazuia viongozi wasiostahiki kimaadili
Tume ya kukabiliana na ufisadi nchini Kenya, EACC, imegeukia kutafuta ushawishi wa viongozi wa kidini baada ya tume ya uchaguzi nchini humo IEBC kuwaidhinisha viongozi ambao uadilifu wao unatiliwa shaka. EACC imeonya kuwa bunge lijalo huenda likawa na viongozi wengi wenye maadili ya kutiliwa shaka na wanaohusishwa na ufisadi. Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu Wakio Mbogho kutoka Nakuru.
Upotoshaji mtandaoni wachochea hofu Kenya kuelekea uchaguzi
Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Kenya wanakabiliwa na taarifa potofu za kisiasa, matamshi ya chuki na uchochezi
Mgomo mkubwa wafanyakazi wa reli umeanza Uingereza
Mgomo wa reli Uingereza
Mjumbe wa China pembe ya Afrika ajitolea kuwa mpatanishi
China jana Jumatatu ilisema iko tayari kubeba dhima ya kuwa msuluhishi wa kuitafutia ufumbuzi mivutano ya ukanda wa pembe ya Afrika. Ni tamko lililotolewa katika mkutano baina ya China na nchi za kanda hiyo, na mjumbe maalum wa kwanza kabisa wa Beijing katika kanda hiyo, Xue Bing. Sikiliza mahojiano kati ya Saumu Mwasimba na Agina Ojwang, mtaalamu wa masuala ya ukanda wa pembe ya Afrika.
Wakuu wa Afrika Mashariki wakubali kupeleka jeshi, DRC
Eneo la mashariki mwa Kongo limekumbwa na machafuko ya wanamgambo na kusababisha vifo vya wakazi.
Viongozi wa EAC wakutana kujadili usalama wa Kongo
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana jijini Nairobi kujadili hali ya usalama ya Kongo
IPOA yaanzisha uchunguzi dhidi ya polisi wa Kenya
Afisa mmoja wa polisi katika kaunti ya Siaya anatuhumiwa kumbaka mwanamke aliyekuwa amewekwa rumande
Kenyatta ataka jeshi la Afrika Mashariki litumwe DRC
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa wito wa kutumwa kwa kikosi cha jeshi la kikanda kujaribu kuzuia machafuko yanayosaba
Je, jeshi la kikanda litaleta utulivu Kongo?
Uamuzi wa kutumwa kikosi hicho utasaidia kwa kiasi gani kurejesha usalama?
Vijana wa Mombasa wahamasishwa amani wakati wa uchaguzi
Baraza la waumini wa dini mbalimbali nchini Kenya IRCK linafanya kampeni ya kuwaelimisha vijana wa eneo la Pwani ya Kenya kudumisha amani wakati wa uchaguzi. Vijana thelathini kutoka kaunti kumi tayari wamepokea mafunzo kuhusu sheria ya uchaguzi, haki zao na jinsi na mahali pa kuripoti makosa ya ghasia za uchaguzi. Mwenzetu Halima Gongo aliandaa taarifa hii. Sikiliza.
Tume ya IEBC Kenya yafanyia majaribio mfumo wake wa matokeo
Tume ya uchaguzi nchini Kenya imeanza kufanya majaribio ya mfumo wa teknolojia ya kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu.
Wakenya wagawika kuhusu pendekezo la kuzuia "Mitumba' ya nje
Wakenya wagawanyika kuhusu kauli ya kupiga marufuku biashara ya uuzaji wa nguo kuukuu zilizoagizwa nchini humo, mitumba.
Uidhinishwaji wagombea wa uchaguzi Kenya wakamilika
Kwa mara ya kwanza tangu mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, Kenya itakuwa na idadi ndogo zaidi ya wagombea wa urais
Kenya miongoni mwa nchi zinazoboresha magereza
Mataifa sasa yanakabiliwa na tishio la watu wengi kushawishiwa kujiunga na makundi ya itikadi kali
EACC yatoa "orodha nyeusi" ya wagombea kuelekea uchaguzi
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini Kenya EACC imetoa orodha ya wagombea wa nyadhifa mbalimbali ambao inataka tume ya uchaguzi IEBC iwazuie kushiriki uchaguzi kwa sababu ya kesi zao zilizoko mahakamani. Je, sheria inasema nini kuhusu hilo? Sikiliza mahojiano ya Bruce Amani na mchambuzi wa siasa za Kenya Javas Bigambo.
Kalonzo ajiunga tena na kikosi cha Azimio One Kenya
Makamu huyo wa rais wa zamani ametangaza kujiunga tena katika kikosi kinachoongozwa na mgombea wa urais Raila Odinga
Maeneo yanayohofiwa kukumbwa na ghasia za uchaguzi Kenya
Maeneo yanayohofiwa kukumbwa na ghasia za uchaguzi Kenya
Tahadhari kuhusu uuzaji wa dawa za kughushi nchini Kenya
Baraza la magavana nchini Kenya limeitaka serikali kufanya uchunguzi wa kina ili kuwaepusha wagonjwa na madhara zaidi.
Ruto amuomba msamaha Kenyatta
Viongozi wa kisiasa wa Kenya wakiwemo Uhuru na Ruto wamekutana ana kwa ana kwenye ibada ya kuombea taifa ya kila mwaka.
Muda wayoyoma kuinusuru Pembe ya Afrika
Umoja wa Mataifa unasema makali ya mateso katika eneo hilo linalokabiliwa na ukame huenda yakaongezeka
Raila akutana na Museveni na Kiir kuelekea uchaguzi wa Kenya
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda amekutana na Mgombea Urais wa Kenya Raila Odinga katika Ikulu mjini Entebbe, baada ya mkutano huo waliungana na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini katika uzinduzi wa daraja mjini Juba ambalo kibiashara linayaunganisha mataifa hayo mawili. Ziara hii ina maana gani kwa siasa za Afrika Mashariki? Sikiliza mahojiano ya Sudi Mnette na Ali Mutasa.
Juhudi zafanyika kuwazuia mafisadi kugombea nchini Kenya
Kenya: Mafisadi wenye nia ya kuwania nyadhifa za uongozi watafutiwa muarobaini
Wagombea wenza wa urais wana umuhimu gani nchini Kenya?
Jumatatu ilikuwa siku ya mwisho kwa wagombea wa urais nchini Kenya kutangaza wagombea wenza wao na tayari wagombea hao wenza wametajwa. Swali kuu ni je, kuelekea mbele kwenye mchakato wa uchaguzi, zoezi hilo la kuwachagua wagombea wenza lina uzito gani kisiasa? Martin Oloo, mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Kenya, anatoa mwangaza kuhusu suala hili.
Kenya kupata makamu wa Rais wa kwanza mwanamke?
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya, mwanamke ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa urais. Kiongozi wa muungano wa A
Raila Odinga amteua Martha Karua kama mgombea mwenza
Mgombea urais wa Kenya kwa tiketi ya muungano wa Azimio la Umoja - One Kenya, Raila Odinga, amemteuwa mwanasiasa mwanamk
Siku ya mwisho ya kuwasilisha wagombea mwenza Kenya
Leo ndio siku ya mwisho kwa wagombea wa urais Kenya kutangaza wagombea wenza kuelekea uchaguzi mkuu wa Agosti. Macho yote yameelekezwa kituo cha mikutano cha KICC katikati ya jiji kwa tangazo la mgombea mwenza wa muungano wa Azimio la Umoja unaoongozwa na Raila Odinga. Saa chache zilizopita muungano wa Kenya Kwanza ulimtangaza Rigathi Gachagua kuwa mgombea mwenza wa naibu wa rais William Ruto.
Wadau:Tunataka mgombea mwenza mwanamke Kenya
wadau wameyasema hayo katika mafunzo ya wanasiasa wanawake kuwandaa kushika wadhifa huo wa ngazi ya juu nchini.
Idadi yawanaohitaji msaada wa kiutu Kenya waongezeka
Mifungo imeshuhudiwa kudhoofu kutokana na kukosa maji na malisho ya kutosha.
Changamoto za kiusalama kuhusu uchaguzi Kenya
Tume ya uchaguzi na mahakama wameelezea bayana changamoto za kisheria ambazo ni vikwazo kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti.
Kenya: Wadau wasisitiza amani katika uchaguzi Kisumu
uchaguzi nchini Kenya unatarajiwa kufanyika mwezi Augusti, wadau wanakuja pamoja na kusisitiza suala zima la amani.
Kenyatta amvaa naibu wake Ruto akimtaka ajiuzulu
Kenyatta aliyeonekana amekasirika, alimlaumu makamu wake kwa kuyaacha majukumu yake
Kenya yamuaga kiserikali rais wa zamani Kibaki
Viongozi wa ngazi ya juu wa ndani na nje ya serikali kuu ya Kenya walifika katika uwanja wa Nyayo kuifariji familia
Makundi yaliyojihami kuwasilisha silaha DRC?
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameyataka makundi yenye silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kuweka chini silaha. Kenyatta ameyasema hayo wakati wa mazungumzo ya amani kati ya makundi mbalimbali ya waasi na serikali ya Kongo. Ili kufahamu zaidi kilichofikiwa katika mazungumzo hayo,Grace Kabogo amezungumza na Didier Bitaki, mtaalamu wa masuala ya ulinzi na sheria za kiutu kutoka Kongo.
Kipi atakachokumbukwa nacho Mwai Kibaki?
Kipi atakachokumbukwa nacho Mwai Kibaki?
Rais Tshisekedi kukutana na viongozi wa waasi wa Kongo
Mkutano huo unaondaliwa na mwenyeji wao Rais Uhuru Kenyatta, unalenga kutafuta mwarubaini kwenye mzozo wa miaka kadhaa.
Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki afariki dunia
Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki afariki dunia
Mchakato wa kumpata mgombea mwenza wa Raila
Wakati huohuo, chama cha UDA cha Naibu wa rais William Ruto kinajiandaa kwa kikao maalum wiki ijayo .
DRC imekua rasmi mwanachama wa saba wa EAC
DRC imekuwa rasmi mwanachama wa saba wa EAC
Kenya: Viongozi watoa wito wa kuvumiliana kisiasa
Viongozi wa kisiasa, kidini na kijamii nchini Kenya watoa wito wa kuvumiliana kuelekea uchaguzi mkuu.
Wakenya kuhusu uamuzi wa mahakama kutupa nje mchakato wa BBI
Wakenya watoa hisia mbalimbali kufuatia uamuzi wa mahakama ya juu kuutupa nje mchakato wa BBI.
DRC mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki, wameipitisha rasmi Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kuwa mwanachama mpya w
DRC kujiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki
Wakuu hao wa nchi watazingatia mapendekezo ya kikao cha baraza la mawaziri kilichofanyika tarehe 25 mwezi huku wa Machi.
Mombasa kumulikwa katika uchaguzi ujao wa Kenya
Mombasa yadhaniwa kukumbwa na dhulma za kijinsia
Kampeni ya chanjo ya Covid-19 kwa raia wa Turkana
Hatua hiyo inajiri wakati serikali ya kenya ikiwa tayari imeondoa sharti la kuvaa barakoa katika maeneo ya umma.
Juhudi zakuwepo na uchaguzi tulivu nchini Kenya
Tume hiyo imechukua mwelekeo wa kuwahusisha wadau kama vile wanasiasa na viongozi wa kidini ili kuikabili hali.
Uhaba wa maji Turkana, Kenya
Serikali sasa inatumia mbini nyingine za kuhifadhi maji kwa kuchimba visima na mabwawa ya maji kuuangamiza uhaba huo
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Gazeti la Die Welt limeandika juu ya mvutano kati ya wanasiasa na viwanda vya sigara nchini Lesotho.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 6 wa 23
Ukurasa unaofuatia