You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ripoti ya Tume ya Maridhiano yawataja Kenyatta, Ruto
Viongozi wa ngazi za juu nchini Kenya, wakiwemo Rais Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto, ni miongoni mwa waliopendekezwa kushtakiwa katika ripoti ya kushtusha iliyotolewa na Tume ya TJRC.
Obama kuizuru Afrika, Kenya haimo katika ratiba
Rais Barack Obama wa Marekani anatarajiwa kufanya ziara barani Afrika mwezi ujao, ambayo itamfikisha katika nchi za Senegal, Afrika Kusini na Tanzania, lakini nchi yake ya asili Kenya haimo katika ratiba.
Kenya: Maandamano ya kupinga nyongeza ya Mishahara kwa wabunge
Nchini Kenya hii leo tarehe 14.05.2013 kunafanyika maandamano ya amani ya kupinga nyongeza ya mishahara ya wabunge.
Wanawake nchini Kenya wamenza kuvuka ukomo wa nafasi zao serikalini
Wanawake nchini Kenye wanaanza kuvuka ukomo wa nafasi zao katika Serikali.Hii ni baada ya kuteuliwa wanawake 6 kati ya mawaziri 18 ambao wanaathibitishwa na kamati ya Bunge la Kenya.
Msanii wa Kichina na kampeni dhidi ya pembe za ndovu Kenya
Huku kampeni dhidi ya biashara ya pembe za ndovu zikizidi barani Afrika, mcheza filamu mashuhuri wa China, Li Bingbing, anatembelea hifadhi za wanyamapori za Kenya kuwaelimisha Wachina dhidi ya madhara ya biashara hiyo.
Kenya: Uchunguzi wa kifo cha Mutula Kilonzo wafanyika leo
Serikali ya Kenya hii leo 29.04.2013 imeanza uchunguzi rasmi kujua nini kilisababisha kifo cha seneta wa eneo la Makueni nchini humo Mutula Kilonzo.
Seneta Mutula Kilonzo wa Kenya aaga dunia
Mutula Kilonzo seneta wa jimbo la uchaguzi la Makueni amekutikana akiwa amefariki leo (Jumamosi 27.04.2013) akiwa katika nyumba yake ilioko kwenye shamba la Maanzoni katika jimbo la Machakos
Wanawake 6 wateuliwa katika baraza la mawaziri nchini Kenya
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amekwisha anza kazi ya kuteua baraza lake la mawaziri kwa ajili ya kuunda serikali yake baada ya kuapishwa rasmi baada ya uchaguzi wa Machi 4.
Viongozi wapya wa Kenya watakiwa kuheshimu haki za binaadamu
Shirika la kutetea haki za binaadamu ulimwenguni la Human Rights Watch,limewataka viongozi wapya wa Kenya kufanya mabadiliko katika mambo manne makuu ambayo yanachangia kuvunja haki za binadamu kwa kiasi kikubwa.
Mchakato wa kuunda serikali waanza Kenya
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, yuko katika harakati ya kuunda serikali yake kwa kuanza kutaja majina ya mawaziri wanne kati ya mawaziri 18 watakaokuwepo katika baraza lake la mawaziri.
Kamata kamata ya Garissa, Kenya
Zaidi ya watu 100 wanaripotiwa kukamatwa katika mji wa Garissa Kaskazini Mashariki mwa Kenya, katika msako ambao mafisa wa polisi wanawatafuta wahalifu ambao wamekuwa wakivuruga usalama katika eneo hilo.
Serikali za Kenya na Tanzania kufaidika na ujenzi wa barabara.
Kenya na Tanzania zinatarajiwa kufaidika na mradi wa ujenzi wa barabara ya Kilomita 157.5 kutoka Arusha kwenda Holili Tanzania na Taveta kwenda Voi Kenya ambayo inajengwa kwa mkopo kutoka Benki ya maedeleo ya Afrika AfDB
Ustawi haujapunguza umasikini Afrika
Nchi za Afrika zinastawi katika viwango vya uchumi vya kuonewa gele na nchi za viwannda. Lakini unomi huo umeshindwa katika miaka ya karibuni kuvipunguza viwango vya umasikini miongoni mwa watu
Rais Uhuru azuru ngome ya mpinzani wake Raila
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo amezuru mji wa Kisumu, ngome kuu ya mpinzani wake mkuu katika uchaguzi wa rais wa mwezi Machi, waziri mkuu wa zamani, Raila Odinga.
Changamoto zinazomkabili Rais mpya Uhuru Kenyatta wa Kenya
Rais Uhuru Kenyatta akabiliwa na changamoto nyingi mojawapo ikiwa ni kuwaunganisha Wakenya kuwa kitu kimoja.
Uhuru aapishwa kuwa rais wa nne wa Kenya
Viongozi kutoka mataifa kadhaa ya Afrika wamewasili jijini Nairobi kuungana na Wakenya kwenye sherehe za kuapishwa kwa rais mpya wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kwenye uwanja wa mpira uliojaa maelfu ya wafuasi wake.
Kenya: Usalama waimarishwa wakati wa kuapishwa Uhuru Kenyatta
Jeshi la Polisi nchini Kenya limetoa tahadhari kufuatia kuwepo kwa taarifa za kufanyika maandamano makubwa ya makundi ya watu kutoka maeneo tofauti nchini humo.
Marekani kufuatilia kesi za viongozi wateule wa Kenya
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema Marekani itafuatilia kwa makini hatua za viongozi wateule wa Kenya katika kukidhi matakwa ya mahakama ya uhalifu ya kimataifa -ICC- kutokana na tuhuma zinazowakabili.
Kenya: Changamoto zinazomkabili Rais Mteule Uhuru Kenyatta
Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta wakati huu anatazamwa kama kiongozi anayekabiliwa na changamoto kadhaa katika uundaji wa serikali yake.
Kenyatta athibitishwa kuwa mshindi wa urais Kenya
Mahakama ya Juu ya Kenya leo imekubaliana kwa kauli moja kuwa Uhuru Muigai Kenyatta ndiye rais halali wa Kenya, pamoja na mgombea mwenza wake William Ruto
Kenya: Kesi ya matokeo ya uchaguzi yaanza leo rasmi
Kesi ya kupinga kuchaguliwa kwa Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa 4 wa Jamhuri ya Kenya kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 4 mwezi Machi imeanza rasmi leo (27.03.2013) katika mahakama ya juu mjini Nairobi.
Viongozi wa kisiasa Kenya wasubiri uamuzi wa mahakama
Nchini Kenya baada ya uchaguzi na kutangazwa matokeo ya urais yanayozusha utata kufuatia malalamiko yaliyopelekwa mbele ya mahakama kuu na chama cha Cord unaoongozwa na Odinga,wananchi wanasubiri uamuzi wa mahakama.
Odinga apinga matokeo ya uchaguzi Mahakama ya Juu
Mgombea wa urais alieshindwa katika uchaguzi Kenya Raila Odinga Jumamosi(16.03.2013) amewasilisha pingamizi ya kisheria mahkamani kupinga matokeo ya uchaguzi huo ukiwa ni mtihani mkubwa kwa demokrasi ya nchi hiyo.
Kenya: Chama Cha CORD kuwasilisha malalamiko Mahakamani
Nchini Kenya,muungano wa CORD unaoongozwa na Raila Odinga uko tayari kuwasilisha malalamiko yake katika mahakama ya juu hapo kesho kupinga ushindi wa Uhuru Kenyatta aliyetangazwa mshindi katika uchaguzi wa machi 4.
Waangalizi wawataka Wakenya kuwa na subira
Kwa siku ya tatu sasa Wakenya wanaendelea kusubiri kwa hamu kubwa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya Jumatatu hususani matokeo ya Urais.Tume huru ya uchaguzi imeanza kutoa upya matokeo ya uchaguzi huo.
Wakenya wapiga kura
Wakenya wanaendelea kumiminika katika vituo vya kupiga kura kuendelea na zoezi hilo ambako hii leo wanachagua serikali mpya baada ya serikali ya Mwai Kibaki iliyoingia madarakani mwaka wa 2002, kumaliza muda wake.
Mkoa wa Nyanza uko tayari kwa uchaguzi
Maandalizi ya upigaji kura katika eneo la nyanza ya kati linalojumuisha kaunti za Kisumu Siaya na Homa Bay yamekamilika.
Marekani yataka uchaguzi wa amani Kenya
Marekani imewaasa Wakenya kuchaguana kwa amani, huku wakijiandaa kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatatu ijayo, Machi 4.
Uganda na hofu ya kutokea vurugu Kenya
Serikali ya Uganda nayo imekuwa ikijiandaa kuhakikisha kuwa wananchi wake hawataathirika kwa njia yoyote ile iwapo machafuko yatatokea nchini Kenya kama ilivyofanyika wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2007.
Al-Shabaab wamuua mwanajeshi wa Kenya
Kundi la Al-shabaab limesema kuwa limemuua mwanajeshi wa Kenya usiku wa Alhamisi, baada ya kumalizika kwa muda walitoa kwa serikali ya Kenya kuwaachia Waislamu wanaoshikiliwa kwa tuhuma za ugaidi.
HRW yatahadharisha Kenya
Ripoti ya Human Rights Watch imesema serikali ya Kenya haikufanya vya kutosha katika ahadi yake ya kufanya mabadiliko na kushindwa kukabiliana na vitendo vinavyoendea vya ukiukwaji wa haki za binaadamu
Hali nchini Kenya kabla ya Uchaguzi Mkuu
Mwezi mmoja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Kenya bado kuna wasiwasi juu ya maswala mengi huko hasa usalama.
Kampeni za uchaguzi zaanza nchini Kenya
Nchini Kenya,wakati huu wagombea wakiwa katika kampeni za kunadi sera zao kuelekea uchaguzi mkuu, tayari wagombea wa juu wa kiti cha urais,sambamba na wagombea wenza wamekwisha orodheshwa rasmi katika orodha ya wagombea.
Mavazi yanayopaswa kuvaliwa na wanasheria nchini Kenya
Nchini Kenya chama cha wanasheria kimetangaza namna mpya ya mavazi yanayopaswa kuvaliwa na wanasheria nchini humo.
Unyanyasaji wa raia wa kisomali nchini Kenya
Wanaharakati wa haki za binaadamu nchini Kenya wanasema raia wa Somalia wanakabiliwa na mashambulizi kutoka makundi fulani ya watu na kutoka kwa polisi tangu serikali itoe amri ya kuwataka wakimbizi warejee makambini.
Kenya yamteua Balozi Amina Mohamed WTO
Serikali ya Kenya imemteua Balozi Amina Mohamed kuwania nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO).
Kampeni za uchaguzi nchini Kenya
Wakati wanasiasa nchini Kenya wakiendelea na kampeni zao kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Machi, suala la usalama bado linazusha mjadala na wasiwasi katika taifa hilo.
Wabunge wa Kenya wataka kujipatia mamilioni
Wabunge hao walipitisha muswada huo kisiri ambapo Rais Kibaki atapata jumla ya shilingi milioni 25 kama marupurupu yake ya kustaafu na shilingi milioni moja kila mwezi hadi atapofariki.
Mudavadi atengana na Kenyatta
Ndoa ya kisiasa kati ya Naibu waziri Mkuu Musalia Mudavadi na Muungano wa Jubilee Coalition unaojumuisha chama cha TNA cha Naibu waziri Mkuu Uhuru Kenyatta na chama cha URP kinachoongozwa na William Ruto imevunjika.
Miaka mitano baada ya ghasia za uchaguzi, Kenya imejifunza nini?
Inatimia miaka mitano sasa tangu vurugu za baada ya uchaguzi nchini Kenya zilizoua zaidi ya watu 1000 na kuwakosesha makaazi zaidi ya 60,000, na bado suali ni ikiwa kweli Wakenya walijifunza ubaya wa siasa za ukabila.
Hospitali Kenya 'yawaweka kizuizini' wazazi
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, hospitali mmoja nchini Kenya inaripotiwa kuwaweka kizuizini wanawake wanaokwenda kujifungua, pale wanaposhindwa kulipia gharama za matibabu na huduma walizopatiwa hospitalini hapo.
Mauaji mengine Tana River Kenya
Mapigano mapya yamezuka katika eneo la Tana River Kaskazini mwa ukanda wa Pwani nchini Kenya, ambako hadi kufikia sasa watu 39 wameripotiwa kufariki, ikiwa ni miezi michache tu baada ya ghasia nyengine kuua watu 100.
Uandikishaji wapigakura waingia dosari Kenya
Huku ikiwa imesalia chini ya wiki moja na nusu kabla ya kufungwa rasmi kwa shughuli ya kuwaandikisha wapiga kura nchini Kenya, shughuli hiyo imekumbwa na dosari ya idadi ndogo ya watu kujitokeza kuandikishwa hadi sasa.
Vyama vya siasa vyaungana kabla ya uchaguzi wa 2013
Nchini Kenya jana (04.12.2012) ndio iliyokuwa siku ya mwisho iliyotolewa kwa msajili wa vyama kuwasilishwa kwa makubaliano ya miungano ya kisiasa na kwa uchache miungano mitatu imeundwa kuelekea uchaguzi wa Machi 2013.
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakubaliana ujenzi wa miundombinu
Viongozi wa nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki wamekubaliana kujenga miundombinu ya usafiri wa reli na bandari ili kuimarisha uchumi wa eneo hilo.
Wanaharakati waiondoa kesi dhidi ya Uhuru, Ruto
Kesi iliyokuwa iamuwe iwapo Uhuru Kenyataa na William Ruto wanaoshukiwa kwa ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 nchini Kenya, wanaweza kugombea urais kwenye uchaguzi wa Machi 2013 imefutwa na mahakama.
Kenya: Shambulizi la Gruneti jijini Nairobi
Wananchi wenye ghadabu leo wameandamana katika Mtaa wa Eastleigh mjini Nairobi kufuatia shambulizi la guruneti.
Hali bado ni tete Samburu, Kenya
Huko nchini Kenya bado kuna hali ya wasiwasi katika eneo la Baragoi huku ikiarifiwa wakaazi wanaendelea kulihama eneo hilo.
Polisi waendelea na msako wa wezi wa mifugo nchini Kenya
Polisi nchini Kenya bado inaendelea na harakati za kuwasaka wezi wa mifugo waliosababisha mauaji ya takriban polisi 42 katika eneo la Baragoi kaskazini mwa nchi hiyo.
Kenya washerehekea ushindi wa Rais Obama
Mjini Kisumu, Kenya katika kijiji cha Kogello kilomita kama 60 kutoka ziwa Viktoria, alikotoka Babake Obama, Hussein Obama,wakaazi wa eneo hilo wamekesha usiku kucha wakisubiri matokea ya uchaguzi huo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 21 wa 23
Ukurasa unaofuatia