You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Watoto milioni 6 wakabiliwa na njaa pembe ya Afrika
Maeneo ya mipakani mwa Ethiopia, Kenya na Somalia yanakabiliwa na hali mbaya ya ukame.
Odinga adai njama ya wizi wa kura Kenya
Odinga ameithumu serikali kwa kuendeleza ufisadi na kupanga njama ya wizi wa kura
Al Shabab yadai imewauwa Wanajeshi 57 wa Kenya
Msemaji wa Al Shabab, amesema wapiganaji wake wamewaua takriban wanajeshi 57 katika kambi ya jeshi iliyoko Kulbiyow
Madaktari Kenya wapewa siku 5 waache kugoma
Mahakama imewapa madaktari na wauguzi siku 5 kumaliza mgomo wao wa nchi nzima uliozoroteshwa utoaji wa huduma za afya.
Wafugaji Kenya na visasi kwa wanyamapori
Wafugaji nchini Kenya huwaua wanyamapori ambao hula mifugo yao. Hali hiyo inaweza kuwa na athari kubwa iwapo itaendelea. Makala haya ya Mtu na Mazingira yataeleza kwa kina hatua wanazochukua wafugaji hawa katika kukabiliana na wanyamapori.
Kituo cha polisi chavamiwa pwani ya Kenya
Mwaka 2013, MRC walidaiwa kuhusika na mashambulizi kadhaa dhidi ya vituo vya polisi kwenye eneo la pwani.
Volkswagen yazindua kiwanda Kenya
Kampuni ya kuunda magari ya Ujerumani, Volkswagen, imezindua rasmi kiwanda cha kuunda magari hayo nchini Kenya
Mahakama Kuu Kenya yawatia hatiani madaktari kwa mgomo
Mahakama hiyo inatarajiwa kutoa hukumu yake kwa viongozi hao wa madaktari hapo kesho.
Lori la gesi lasababisha ajali na kuua watu 30 Naivasha
Ajali mbaya ya magari katika barabara kuu ya Naivasha
Upinzani Kenya kurudi barabarani dhidi ya IEBC
Odinga na Musyoka wasema IEBC haifuati makubaliano ya matayarisho ya uchaguzi kama yalivyotakiwa na tume ya bunge.
Wanamgambo washambulia shule Mandera
Al-Shabaab watuhumiwa kuvamia mji wa Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya, na kuishambulia shule kwa risasi.
Kenya yaangamiza bunduki 5,000
Kenya inakabiliana na mashambulizi ya kigaidi na pia makundi ya majangili, yote mawili yakitumia silaha haramu.
Kundi la Alshabaab lajiimarisha tena?
Ethiopia iliyokuwa na wanajeshi 2,000 Somalia, iliwaondoa wanajeshi wake katika miji ya Halgan, El-Ali na Mahas
Afrika Mashariki yafanya vyema kibiashara - Benki ya Dunia
Rwanda yashika nafasi ya juu kabisa barani Afrika ikiwa ya 56 duniani.
Al-Shabaab yauwa tena Mandera
Mripuko wa bomu katika nyumba ya wageni umewauwa watu 12 kaskazini mashariki mwa Kenya asubuhi ya leo.
Afrika yatangaza vita dhidi ya uharamia
Mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika umeafikia makubaliano ya kuimarisha ulinzi wa pwani za Afrika
Wakimbizi wa somalia wakataa kurejea kwao
Hiyo ni Taarifa ya ripoti ya shirika la madaktari wasiokuwa na mipaka, MSF.
Chama cha marubani KALPA chataka wakurugenzi kufutwa kazi
Kenya Airways limesema hakuna sababu ya kutosha kwa muungano wa KALPA kuitisha mgomo
IEBC na serikali zashindwa kukubaliana
Tume ya uchaguzi Kenya haijaafikiana na serikali juu ya malipo kwa makamishna wanaotaka kubanduliwa madarakani.
Waziri wa mazingira wa Ujerumani azuru Kenya
Kenya na Somalia zavutana juu ya mpaka wa baharini
Mgogoro wa muda mrefu baina ya Somalia na Kenya unaingia katika hatua mpya.
Wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wakumbwa na wasiwasi
Watetezi wa haki za kibinadamu watoa tamko la kuilaumu serikali ya Kenya pamoja na UNHCR
Polisi wawatambulia walioshambulia kituo cha Mombasa
Polisi wawatambua magaidi 2 wa kiike walioshambulia kituo cha Mombasa
Al shabaab waua katika mgahawa Mogadishu
Al shabaab waua katika mgahawa Mogadishu
Kerry yuko Kenya kujadili usalama na ugaidi
Kerry zaiarani Kenya
Vikosi vya Kiir na Machar Sudan Kusini kuunganishwa
Vikosi vya Kiir na Machar Sudan Kusini kuunganishwa kufikia mwezi Mei mwaka ujao.
Kenya: Chama cha ODM hatarini kusambaratika
Chama kikuu cha upinzani Kenya, Orange Democratic Movement, kiko kwenye hatari ya kugawanyika kabla ya uchaguzi mkuu.
Netanyahu yuko nchini Kenya
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu afanya ziara ya kihistoria Barani Afrika kuboresha mahusiano
Sita wauawa katika shambulio dhidi ya mabasi Kenya
Sita wauawa katika shambulio dhidi ya mabasi Kenya
Kenya: Ushawishi wa al-Shabab kwa vijana waongezeka
Kenya kuna hofu kuwa takriban vijana 100 wamejiunga na kundi la kigaidi la Dola la Kiislamu nchini Libya na Syria ambako wanapata mafunzo, na huenda watarejea kufanya mashambulizi ya kigaidi. DW imezungumza na mshauri wa kiusalama jijini Nairobi, George Musamali.
HRW: Kenya ichunguze mauaji ya waandamanaji
Human Rights Watch imesema watu 5 waliuliwa na wengine 60 kujeruhiwa na polisi katika mandamano ya CORD mkoa wa Nyanza.
Wakaazi wa Kibera hawana ruhusa kutoka nje usiku
Serikali ya Kenya imetangaza amri ya kutotoka nje usiku katika mtaa wa mabanda wa Kibera, baada ya wafuasi wa upinzani kuandamana kutaka viongozi wao waliokamatwa kuhusiana na matamshi ya chuki waachiliwe huru. Wakati huo huo mawakili wa upinzani CORD wako mahakamani kuwasilisha ombi la wabunge hao waachiliwe kwa dhamana.
CORD yakataa kuundwa kamati ya Bunge
Imekataa mpango wa Kenyatta na kusema maandamano ya kuipinga Tume ya Uchaguzi IEBC yatafanyika kila Jumatatu na Ijumaa.
Maandamano kupinga IEBC yaendelea Kenya
Mahakama imekataa kupiga marufuku maandamano hayo. Idara ya polisi imesema itatumia nguvu dhidi ya waandamanaji
Viongozi wa dini wakutana na IEBC
Mkutano kati ya viongozi wa dini na makamishna wa Tume ya Uchaguzi IEBC una nia ya kutatua mvutano kati ya tume na CORD.
Polisi waua waandamanaji Kenya
Watu watatu wamuawa katika maandamano ya kupinga Tume ya Uchaguzi IEBC. Viongozi wa upinzani wamelaani mauaji hayo.
Makanisa Kenya yaingilia kati mgogoro wa IEBC
Makanisa Kenya yaingilia kati mgogoro wa IEBC
IAAF: Kenya kushiriki Olimpiki bila wasiwasi
Hofu ya Kenya sasa ni kamati inayosimamia Olimpiki inayoweza kupiga wanariadha wake marufuku
IEBC: Makamishna kamwe hawatang'atuka
Tume ya Uchaguzi Kenya imesema makamishna wake hawataachia ngazi, licha ya shinikizo kutoka upande wa upinzani.
Kenya: watatu wakamatwa kwa njama za shambulizi la kimeta
Polisi nchini Kenya imewakamata watu watatu wanaoshukiwa kupanga njama za kutekeleza shambulizi la kigaidi, la kutumia kemikali za kibayolojia zenye bakteria wa maradhi ya kimeta.
Kenya kuchoma tani za pembe za ndovu na faru
Kenya itachoma moto leo Jumamosi(30.04.2016) tani kadhaa za pembe za ndovu na faru ili kupambana na biashara hiyo haramu
Upinzani Kenya wataka IEBC ivunjwe
Watu waliokuwa wagombea wa Urais katika uchaguzi mkuu uliopita wamejiunga na muungano wa upinzani kudai mabadiliko.
Ndoto ya kuwa na sarafu moja Afrika Mashariki
Jumuiya ya Afrika Mashariki inaadhimisha miaka 10 tangu kuanzisha umoja wa forodha uliochangia kustawisha uchumi.
Kenya kukumbwa na mgogoro wa mabenki?
Mabenki matatu yameanguka Kenya katika muda wa miezi tisa. Imperial na Chase zimechukuliwa na Benki Kuu ya Kenya, CBK.
ICC yamfutia kesi ya mauaji William Ruto
ICC yatupilia mbali kesi dhidi ya Ruto
Wakenya walalamikia kuongezeka kwa ufisadi
Nusu ya Wakenya wanaamini ufisadi umeongezeka nchini humo chini ya utawala wa Kenyatta
Uchambuzi: Uchaguzi wa Malindi na Kericho, Kenya
Muungano wa Upinzani CORD nchini Kenya unashangilia ushindi wa kiti cha ubunge Malindi. Hata hivyo CORD iliangushwa katika uchaguzi mwingine wa kiti cha Useneta kaunti ya Kericho. Sikiliza uchambuzi wa David Makali.
Odinga: Serikali inapanga kuiba kura
Muungano tawala wa Jubilee nchini Kenya umejadili malalamiko ya upinzani kwamba serikali inapanga kuiba kura mwakani.
Kenyatta na Buhari kushirikiana kupambana na ugaidi
Makubaliano hayo yameafikiwa kwenye mashauri kati ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Muhammadu Buhari wa Nigeria.
Al-Shabaab wadai kuishambulia kambi ya AMISOM
Wapiganaji wa al-Shabaab wameishambulia kambi ya wanajeshi wa kulinda amani Somalia
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 18 wa 23
Ukurasa unaofuatia