You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Kenya kutoa chanjo kwa watoto 400,000 kwa siku 100
Rais kenyatta amesisitiza umuhimu wa chanjo kwa watoto
Senegal ndio Fahari ya Afrika katika kombe la Dunia
Timu ya taifa ya kandanda ya Senegal ndiyo iliyokuwa timu ya kwanza ya Afrika kupata ushindi katika kombe la dunia Urusi
Sakata la sukari yenye zebaki Kenya
Ipo shehena ya sukari nchini Kenya inayodaiwa kuchanganywa na madini ya shaba na zebaki na kuzusha hofu ya kiafya.
Mkuu wa NYS akamatwa Kenya kuhusiana na ufisadi
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameahidi kupambana na ufisadi lakini wakosoaji wanahisi hatua za kutosha hazijachukuliwa.
Rushwa yazidi kuitikisa serikali ya Kenyatta
Nchini Kenya kumebainika wizi wa kiasi cha shilingi bilioni 6.3 katika ununuzi wa mahindi na kingine cha bilioni 1.9 katika uuzaji wa mbolea kwa wakulima. Sudi Mnette alizungumza na mchambuzi wa siasa za Kenya, Chekai Musa, ambaye amemuelezea jinsi fedha hizo zilivyochotwa.
Kenya: Masomo yaanza tena Solai baada ya watoto 14 kufa
Wanafunzi wangali wamekumbwa na majonzi kufuatia vifo vya wenzao
Kero la ufisadi Kenya
Ufisadi umeendelea kuwa kero nchini Kenya. Katika makala ya Kinagaubaga Sudi Mnette amemhoji mkurugenzi wa zamani wa tume ya kupambana na ufisadi nchini humo wakili Patrick Lumumba.
Hakuna kugawana mali nusu kwa nusu baada ya talaka
Mahakama kuu Kenya imepinga kubadilishwa sheria ili kuruhusu wanandoa kugawana mali yao nusu kwa nusu baada ya talaka
Hali tete ya kiusalama eneo la Turkana Kenya
Viongozi wa kisiasa sasa wanatupiana lawana za uchochezi
Shirika la Kijerumani la AHK lazindua ofisi Nairobi
Shirika la Ujerumani la AHK linalotoa huduma za ushauri kwa wawekezaji wa Kijerumani nchini Kenya limepata makazi mapya jijini Nairobi. Hatua hio mpya inaliweka shirika la AHK katika nafasi nzuri hasa ukizingatia kuwa serikali ya Kenya iko mbioni kutimiza ahadi yake ya kufanikisha maendeleo katika uwekezaji na viwanda.
Mahakama Kenya yawapiga faini waziri, mkuu wa polisi
Jaji George Odunga ameagiza pesa hizo zikatwe kwenye mishahara yao.
Miguna Miguna asema alileweshwa kabla ya kupelekwa Dubai
Miguna amedai kuwa polisi walivunjwa mlango wa choo alikokuwa na kumlewesha na alizinduka akiwa Dubai.
Miguna awekwa kizuizini Kenya
Polisi Kenya yamkamata Miguna Miguna, licha ya kupewa ruhusa ya kuingia nchini na Mhakama.
NASA yamvua Wetangula madaraka
James Orengo ameteuliwa kuwa kiongozi wa upinzani katika baraza la Seneti na hivyo kuchukua nafasi ya Wetangula.
Uchaguzi Kenya uliingiliwa na wadukuzi?
Cambridge Analytica inashutumiwa kutumia propaganda na mbinu nyingine chafu kushawishi maoni ya wapiga kura.
Punguzo la mshahara lafanya polisi waache kazi
Polisi wenye shahada ya chuo kikuu wamechukua hatua hiyo baada ya Kamishina mkuu wa jeshi la polisi kuwapunguzia kipato.
UN yasifu makubaliano kati ya Kenyatta na Odinga
Kukutana kwa Rais Kenyatta na mpinzani wake Odinga kumesifiwa kimataifa, licha ya malalamiko ya baadhi ya wapinzani
Tillerson: Kenya iheshimu vyombo vya habari na mahakama
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Rex Tillerson ambaye yuko ziarani Kenya, alisisitiza umuhimu wa demokrasia
Rais Kenyatta na Odinga wafanya mazungumzo
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na kinara wa upinzani Raila Odinga wamefanya mazungumzo siku ya Alhamisi katika ofisi ya ra
Viongozi wa NASA waweka mikakati
Ajenda ya kikao cha viongozi hao wa muungano mkuu wa upinzani inajikita katika mbinu za kusaka haki za kidemokrasia.
Kenya na Uganda kuzindua kituo cha pamoja mpakani Busia
Lengo ni kuondoa urasimu ili kuboresha mahusiano ya kibiashara, kiuchumi na kijamii miongoni mwa raia wa nchi hizo mbili
Uhuru na Raila: Misimamo mikali kila upande
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, alipoandaa kiapo cha yeye kutawazwa kama ‘rais wa watu' mjini Nairobi.
Je, muungano wa NASA wayumba Kenya?
Chama cha ODM kina idadi kubwa ya wajumbe bungeni hali inayoviweka vyama vingine vya NASA katika changamoto.
Mvutano waongezeka NASA na Jubilee
Upinzani unaoongozwa na NASA unaituhumu serikali kuu kwa kuimaliza nguvu idara ya mahakama.
Muungano wa NASA walaani kufukuzwa Miguna Kenya
Miguna Miguna amewasili Canada baada ya kufukuzwa nchini humo. Isaac Gamba alizungumza na Moses Wetangula.
Idara ya Mahakama na Ofisi ya Rais Kenya zavutana.
Mvutano umejitokeza baada ya inspekta mkuu wa polisi na Mkurugenzi wa idara ya upelelezi kutofika mahakamani.
Wasiwasi watanda nchini Kenya
Wanaharakati nchini Kenya wameishitaki mahakamani serikali ya nchi hiyo, kwa kuvifungia vituo vya televisheni
Kamata kamata yaanza Kenya
Kamata kamata huko Kenya imeanza kushuhudiwa baada ya kiongozi wa upinzani nchini humo Raila Odinga kujiapisha.
Raila aapishwa kuwa "rais wa wananchi" Kenya
Raila amerekebisha pia wasifu wake kwenye mtandao wa twitter na kujiita "Rais wa Jamhuri ya Kenya".
Maelfu wakusanyika Nairobi kumuapisha Odinga
Mwansheria mkuu wa serikali alionya kuwa Odinga angekabiliwa na mashitaka ya uhaini iwapo atajiapisha kuwa rais.
Maandalizi ya kuapishwa Odinga yaendelea
Huku mipango ya sherehe za kumuapisha Kiongozi wa mungano wa upinzani nchini Kenya, NASA Raila Odinga na naibu wake Steven Kalonzo Musyoka ikiendelea japo kwa hofu, wafuasi wa muungano huo wanaisubiri siku hiyo kwa hamu kubwa.
NASA yapanga kumuapisha Raila 30.01.2018
Muungano wa upinzani Kenya, NASA unasisitiza utamuapisha Raila Odinga kuwa Rais wa wananchi katika bustani ya Uhuru kesho. Hayo ni licha ya polisi kutangaza hawataruhusu hafla hiyo kufanyika katika bustani hiyo kutokana na wasiwasi kwamba itasababisha vurugu na kukiuka sheria za nchi. Caro Robi amezungumza na afisa mkuu mtendaji wa NASA, Norman Magaya, kufahamu watafanyia wapi sherehe hiyo.
Odinga asisitiza ataapishwa rais
NASA imeweka baya kuwa inazo hati zinazothibitisha kuwa Raila Odinga ndiye aliyepata kura nyingi katika uchaguzi mkuu.
HRW: Uvunjifu wa haki za binaadamu washamiri Afrika
Ripoti hiyo inamulika zaidi hali ya kisiasa ilivyovurugwa na kutoheshimiwa haki za binaadamu Afrika Mashariki
Kenya yalaumiwa kwa dhuluma dhidi ya jamii ya Sengwer
Jamii ya Sengwer imekuwa ikipinga vikali hatua ya kuhamishwa kwenye msitu wa Embobut tangu mwaka 2007
Nairobi: Padri akamatwa Kenya kwa madai ya ulawiti
Sheria ya Kenya inapiga marufuku kitendo cha aina hiyo
Kenya: Wapinzani NASA kukutana na serikali?
Viongozi hao wa muungano mkuu wa upinzani walisema pia wako tayari kujadili suala la kuunda serikali ya pamoja.
Uchaguzi ulidhoofisha demokrasia Kenya - EU
Uchaguzi wa urais wa Kenya uliokumbwa na visa vya udanganyifu uliidhoofisha demokrasia nchini humo na haya ni kulingana.
Hatari tano kwa biashara Afrika Mashariki 2018
Mahitaji ya wawekezaji na bishara kuongezeka baada ya kurejea utulivu wa kisiasa Kenya.
Tundu Lissu aruhusiwa kutoka hospitali Nairobi
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kulazwa kwa karibu miezi minne kufuatia kushambuliwa kwa risasi. Akizungumza na DW kwa njia ya simu, Lissu amelitaja shambulio hilo kuwa ni jaribio la mauaji ya kisiasa. Amesema ataendelea na matibabu barani Ulaya ingawa hakuweka wazi atakuwepo nchi gani. Sikiliza mahojiano hapa.
Afrika katika picha: Matukio makuu ya 2017
Zimbabwe na Gambia ziliwaondoa marais wao, ghasia za baada ya chaguzi Kenya na Liberia, mashambulio Somalia na Nigeria.
Serikali ya Kenya yahimizwa kuchukua hatua dhidi ya wabakaji
HRW: Serikali ya Kenya inapaswa kuchukua juhudi ya kuwalinda raia wake dhidi ya visa vya unyanyasaji wa kingono.
Kenya yaadhimisha miaka 54 ya Uhuru
Kilele za sherehe hiyo ni hotuba ya rais Kenyatta inayosubiriwa kwa hamu inayotarajiwa kugusia Umoja wa wakenya wote,
Kenya: Mwanasheria mkuu amkosoa Raila kwa kutaka kujiapisha
Odinga ameilani vikali jamii ya kimataifa kwa kuunyamazia ukiukaji wa haki za binadamu baada ya uchaguzi mkuu
Kenya: Vikao vya bunge vyaanza tena
Rais Kenyatta ana kibarua kigumu cha kuhakikisha kuwa baraza lake jipya linapata sura ya kitaifa
Je una maoni gani kuhusu siasa za Kenya?
Siasa za maelewano, usawa, ushirikishi wa jamii zote serikalini na ugavi wa rasilmali ni kati tu ya mambo Wakenya wanahitaji. Je hayo na mengine mengi yametimizwa? Sikiliza makala iliyoandaliwa na Wakio Mbogo
Kenya yafungua milango kwa raia wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Kenya imetangaza kuwa raia kutoka nchi za Kiafrika sasa wataweza kupewa kibali cha Visa wanapowasili nchini humo hatua ambayo inalenga kuimarisha mahusiano kati yake na mataifa mengine barani Afrika.
Kenyatta aapishwa, Odinga asusa
Bado haijawa wazi nini kitafanyika ndani ya siku chache zijazo, lakini kwa vyovyote vile ishara si njema.
Odinga ataka usaidizi wa nchi za Magharibi
Kiongozi wa muungano wa upinzani nchini Kenya NASA, Raila Odinga ameyaalika mataifa ya Magharibi kuhakikisha taifa la Kenya limeidhinisha demokrasia, baada ya uchaguzi mkuu uliogubikwa na utata.
Mjadala wa kujitenga wahanikiza pwani ya Kenya
Mjadala umeshika kasi katika mji wa Mombasa kuhusu kujitenga kwa Pwani ya Kenya huku mchakato mzima wa kufanikisha ajenda hiyo ukizinduliwa na viongozi wa kanda hiyo. Ripoti ya Eric Ponda inaangazia suala hilo na utata linalouibua.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 15 wa 23
Ukurasa unaofuatia