You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Kikao cha misaada ya kibinadamu chafanyika Nairobi
Majadiliano yajikita katika maslahi ya wakimbizi wa ndani na nje
Mwanaharakati wa Kenya apatikana akiwa amekufa.
Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu nchini Kenya amepatikana akiwa amekufa siku sita baada ya kutoweka.
Ruto azungumzia mabadiliko ya katiba
Makamu wa rais Kenya William Ruto atoa mapendekezo yanayoweza kuzikabili changamoto za kikatiba nchini Kenya.
Kenya kuwapa wafanyakazi wa umma wa DRC mafunzo
Kenya kuunga mkono harakati za rais mpya wa DRC Felix Tshisekedi
Mwanafunzi ashikiliwa kwa kumuuwa mwalimu Kenya
Mwanafunzi wa kidato cha nne akamatwa kwa kumuuwa mwalimu nchini Kenya
Viongozi wa upinzani Afrika waliojitangazia ushindi mapema
Kuna historia ndefu ya wagombea wa upinzani Afrika ambao wamejitangaza kushinda katika uchaguzi.
Idadi ya waliouawa kufuatia shambulio Kenya yaongezeka
Idadi ya waliofariki dunia kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa mjini Nairobi, nchini Kenya imefikia watu 21.
Kenyatta: Operesheni imekamilika na magaidi wote wameuawa
Shambulio hilo lilitokea siku ya Jumanne
Kina mama wajitolea kuimarisha usalama mitaani Kenya
Uhalifu nchini Kenya unaripotiwa kuongezeka katika miji mikuu
Uhaba wa maji Marsabit Kenya wawatia wakaazi wasiwasi
mifugo wao pia wamo katika hatari ya kuangamia
Rais Kenyatta atoa wito wa usalama na umoja Kenya
Odinga na Ruto wamesisitiza kuwa ni wajibu wa viongozi kuja pamoja kufanikisha maendeleo nchini.
Ukosefu wa fedha ni changamoto kwa bunge la Afrika Mashariki
Wabunge wasema nchi wanachama zinakikuka mkataba wa kuanzishwa kwa jumuiya hiyo.
Kenya: Polisi wawakimbia maafisa wa kupambana na rushwa
Polisi nchini Kenya wamewasaidia wenzao wawili ambao walikuwa wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa kutoroka.
Wanyamapori Kenya wako matatani
Wakaazi wa eneo la Parkishon jimboni Marsabit nchini Kenya, wanatishia kuwaua wanyamapori.
Usafiri watatizika Kenya
Serikali imeagiza shirika la reli kuongeza treni za kubeba abiria wakati huu wa operesheni ya kuyakamata magari mabovu.
Wakulima Kenya kunufaika kutokana na nishati ya mvuke
Kenya inatarajiwa kufaidika pakubwa kutokana na mbinu za ubunifu za matumizi ya nishati ya mvuke mashambani.
Wito watolewa kukabili vifo vya wajawazito na watoto Afrika
Kongamano la pili la kimataifa barani Afrika limeanza leo mjini Nairobi nchini Kenya
Kenya yaanza uhamasishaji kuhusu haki za kiuchumi na kijamii
Kila mkenya ana haki ya kupata kiwango cha juu cha kuimarika kiuchumi na kijamii
Uteuzi wa Odinga katika AU una maana gani kuhusu siasa zake?
Raila Odinga ameteuliwa kuwa mwakilishi mwandamizi wa Umoja wa Afrika kwenye masuala ya maendeleo ya miundombinu.
Wakenya waonywa kutobadilisha fedha kutumia mitandao haramu
CMA imeonya kwamba kuna hatari ya kupoteza uwekezaji wa fedha.
Kenya yapiga marufuku samaki kutoka China
Wakati huohuo idara ya ubora wa bidhaa inatahadharisha kuwa idadi ya samaki wanaovuliwa Kenya haitoshi kukimu mahitaji.
Kenyatta: Wanajeshi wa Kenya kuendelea na operesheni Somalia
Idara za usalama zaonya kuhusu mpango wa Alshabaab kufanya shambulizi Kenya
Nyota wa riadha Kenya Kipchoge akabiliwa na madai ya rushwa
Kipchoge Keino aamriwa kuripoti polisi
Polisi kuchukuliwa hatua kuhusu ajali ya barabarani Kenya
Maafisa wakuu serikalini wameanza kujadili jinsi ya kuzuia matukio kama hayo siku za usoni
Benki kuu ya dunia yaionya Kenya
Benki kuu ya dunia imeionya wizara ya fedha ya Kenya dhidi ya kupunguza bajeti za kusimamia miradi ya maendeleo.
Kenya yarejesha sherehe za siku ya Moi
Kenya imeanza tena kuiadhimisha siku ya Moi kama siku ya mapumziko baada kuwekwa kando kwa miaka saba. Hatua hii inafuatia uamuzi wa mahakama kuirejesha siku hiyo. Sophia Chinyezi amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa Profesa Mohammed Manyora, kuhusu hatua hiyo.
Tamasha la utalii lafunguliwa Nairobi
Ajenda kuu ni kulinadi bara la Afrika katika biashara ya utalii.
Wakenya wakerwa na bunge kuhusu mswada wa kodi
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametia saini Mswada wa Fedha wa mwaka 2018. Mswada huo ulipitishwa na Bunge la Kenya siku ya Alhamisi, katika mjadala ulioshuhudia vurugu. Baadhi ya wananchi nchini humo wameelezea hisia zao kuhusu hatua hiyo
Mauaji ya vijana Mombasa yazusha mjadala
Baadhi ya mashirika ya kutetea haki za binadamu yalaumiwa kwa kubembeleza wahalifu
Usimamizi mbaya, uhaba wa wahudumu chanzo maafa ya Pumwani
Gavana wa Nairobi Mike Sonko aligundua maiti 11 zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye masanduku katika hospitali hiyo.
Bunge lamuunga mkono Kenyatta kodi ya mafuta
Wabunge nchini Kenya wameafikiana kuunga mkono mapendekezo ya Rais Uhuru Kenyatta ya kupunguza kodi kwenye bidhaa za mafuta kutoka asilimia 16 hadi nane.
Kenyatta akataa ongezeko la VAT la asilimia 16
Kwa hatua hiyo ya Rais Kenyatta, bei ya lita ya petroli itakuwa shilingi 118 kutoka kwa shilingi 127
Kenya: Mwanafunzi auawa na kutupwa msituni
Timu maalumu ya wachunguzi wa mauaji ya binadamu nchini Kenya imetumwa katika kaunti za Migori na Homa Bay kuchunguza mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu aliekuwa ametekwa nyara pamoja na mwandishi habari wa kampuni ya Nation Media. John Juma alizungumza na Erick Oduor kuhusu sakata hilo.
Makahama ya Kenya yakataa kusitisha 16% ya kodi ya mafuta
Mahakama Kuu ya Kenya imekataa kusitisha kwa muda utekelezaji wa tozo la kodi kwa asilimia 16 kwa bidhaa za mafuta.
May na Kenyatta kushirikiana zaidi
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amezuru Kenya na kusaini mikataba kadhaa na Rais Kenyatta.
Kesi dhidi ya Philomena Mwilu yasitishwa Kenya
Mahakama Kuu imesema yapo masuala ya kikatiba yanayohitaji kutathminiwa kwanza.
Naibu Jaji Mkuu Kenya akamatwa
Naibu Jaji Mkuu Kenya Philemona Mwilu amefikishwa mahakamani kwa madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Marekani na Kenya kujenga barabara ya Nairobi hadi Mombasa
Kenyatta ziarani Washington
Kenya: Kina mama watoa wito 'mogoka' ipigwe marufuku pwani
Uraibu wa kutafuta 'moguka' umechangia pakubwa kuzorota kwa maadili miongoni mwa jamii
Kenya: Mzozo kati ya wafugaji na wakulima wasababisha maafa
Wenyeji ambao ni wakulima wametaka jamii ya wafugaji ifurushwe mara moja
Majaji Kenya kupunguza mrundiko wa kesi
Mahakimu wanatafuta mbinu za kupunguza idadi kubwa ya kesi zilizowasilishwa mahakamani bila kushughulikiwa.
Maoni: Kufifia kwa upinzani Afrika Mashariki
Je, Kenya imekuwa nchi ambayo haina upinzani tena? Kwa nini nchini Uganda upinzani umeendelea kukabwa koo na hauna nafasi ya kupumua? Tanzania kunashuhudiwa viongozi wa upinzani wakichukua uamuzi wa kuhamia chama tawala CCM. Jiunge na Josephat Charo na Rashid Chilumba katika kipindi cha Maoni mbele ya meza ya Duara.
Pwani ya Kenya kukombolewa kiuchumi
Pwani ya Kenya kukombolewa kiuchumi
Kenya: Bunge latupilia mbali ripoti kuhusu sukari ya magendo
Bunge la Kenya siku ya Alhamisi liliitupilia mbali ripoti kuhusu sukari iliyoingizwa nchini humo kimagendo na ambayo ilidaiwa kuwa na madini ya zabaki ambayo si salama kwa matumizi wa binadamu. Hatua hiyo imetajwa kuwa inaweza kuweka doa katika juhudi za serikali ya Kenya kupiga vita uagizwaji wa sukari kwa njia isiyo halali.
Kenya: Jopo lapendekeza hukumu ya kifo iondolewe
Jopo lasema ipo haja ya kuwa na adhabu anuwai ikiwemo kutumikia kifungo nje
SGR yailetea Kenya hasara kubwa
Uswisi kurejesha pesa za ufisadi Kenya
Serikali ya Uswisi imeahidi kufuata mpango maalumu wa kurejesha fedha zinazofichwa katika benki za Uswisi.
Gavana akamatwa kwa ufisadi Kenya
Idara ya Kupambana na Ufisadi imemtia nguvuni Gavana wa Kaunti ya Busia
Viongozi mafisadi washtakiwa Kenya
Kwa mara ya kwanza Kenya itamshtki gavana wa kaunti pamoja na maafisa wengine tisa katika kesi inayohusiana na rushwa.
UNESCO: Ziwa Turkana liko hatarini
Bwawa la Ethiopia laathiri ziwa Turkana
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 14 wa 23
Ukurasa unaofuatia