Wapo watu wengi wanaoamini katika tiba asilia ya kuunganisha mifupa na viungo vingine vya mwili vilivyoteguka au kuvunjika pasi ya kuenda hospitalini. Swali ni je, tiba hizo ni salama kwa kiwango gani? Tumekuandalia mtizamo wa pande zote mbili ikiwemo kauli ya mhazigi yaani daktari bingwa wa mifupa hospitalini.