You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Tatu Yahaya
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Tatu Yahaya
Taarifa zilizoonesha na Tatu Yahaya
Tanzania: Vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake vikomeshwe
Visa vya dhuluma za kijinsia zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara na wakati mwingine wanaharakati wa haki za binadamu wanashinikiza hatua zaidi kwa vitendo vya dhuluma hasa kwa makundi ya wanawake wasichana na watoto. Baadhi ya vijana wanasema malaka hazijafanya vya kutosha kukomesha vitendo hivyo.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Tatu Yahaya
Taarifa na Tatu Yahaya
Msichana anayepiga vyombo vya muziki
Msichana anayepiga vyombo vya muziki
Caren ni msichana wa miaka 10, lakini sauti na midundo yake ni mikubwa kuliko umri wake. Anapiga vyombo vya muziki na pia huimba kwa ustadi mkubwa. Ameshawahi kutumbuiza katika matamasha makubwa, na hata kutunukiwa cheti cha muziki. Bado ana ndoto ya kuliiwakilisha taifa lake katika majukwaa makubwa ya kimataifa kupitia muziki.
Buminganyikani, msichana mdogo anayewasaidia wenzake
Buminganyikani, msichana mdogo anayewasaidia wenzake
Buminganyikani ni msichana wa kidato cha sita ambaye amekuwa akitumia muda wake katika kutembelea vituo vya watoto.
Msichana Jasiri: Faith na uthubutu wa kuongea na umati
Msichana Jasiri: Faith na uthubutu wa kuongea na umati
Kutana na Faith Fransis binti wa miaka 8 alojipatia umaarufu mitandaoni kwa kujieleza mbele ya umati.
Uthubutu wa kuanzisha jukwaa la vijana mtandaoni
Uthubutu wa kuanzisha jukwaa la vijana mtandaoni
Doricas ni msichana wa miaka 20 ambaye ameanzisha jukwaa la kuwakutanisha vijana kuanzia miaka 15–25.
Msichana Jasiri: Mwanzilishi wa programu ya afya ya Akili
Msichana Jasiri: Mwanzilishi wa programu ya afya ya Akili
Adila Nassoro wa Tanzania aliamua kuanzisha programu ya kipekee dhidi ya unyanyapaa wa afya ya akili
Taaluma yako inaweza kulinda afya ya jamii?
Taaluma yako inaweza kulinda afya ya jamii?
Faraja kama lilivyo jina lake, anayo ari na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko katika jamii kupitia elimu ya afya. Akiwa mwanafunzi wa udaktari, ametumia maarifa anayoyapata chuoni kuelimisha jamii kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo yanachangia idadi kubwa ya vifo vya watu duniani.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo