Marekani yatangaza kuwa mataifa ya Ulaya yatajumuishwa kwenye mazungumzo ya amani kuhusu mzozo wa Ukraine. Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yathibitisha kuwa M23 imechukua udhibiti wa mji wa Bukavu. Silaha nzito zilizotolewa na Marekani zawasili Israel.