Muhtasari: Rais Trump asema makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas yanapaswa kufutwa, ikiwa mateka wote hawatoachiwa +++ Rais Zelensky kukutana na Makamu wa Rais wa Marekani mjini Munich +++ Chama cha DA ambacho ni mshirika katika serikali ya umoja ya Afrika Kusini, chaipinga sheria ya kusimamia umiliki wa ardhi.