Muhtasari: +++Rais wa Marekani Donald Trump asema Washington, inapiga hatua katika mazungumzo yake ya kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine+++Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz na mpinzani wake mkuu Friedrich Merz wachuana vikali katika mdahalo kuelekea uchaguzi +++Wanajeshi wapatao 75 wa Kongo watapandishwa kizimbani leo, kwa kukimbia mapigano baada ya waasi wa M23 kusonga mbele+++