Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa tamko la pamoja kuhusu jaa katika Ukanda wa Gaza // Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametangaza kuwa maafisa wa Marekani na Ukraine wanatarajia kukutana kesho Ijumaa // Mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na wapiganaji wanaojiita Wazalendo yamesababisha vifo vya watu watano karibu na mpaka wa Burundi.