You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Smartphone
Smartphone ni simu ya mkononi inayojumlisha sifa za simu ya kawaida na computer.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wizi wa nyaya za umeme, simu waongezeka Ujerumani
Leo magazeti ya Ujerumani yanazungumzia kuogezeka kwa uhalifu wa wizi wa nyaya za umeme, mgogoro wa ndani wa kisiasa linapohusika suala la muelekeo wa serikali kwenye sarafu ya euro na sera ya nishati ya Ujerumani.
Afrika na matumizi ya simu za mkononi
Matumizi ya simu za mkononi yamerahisisha mambo mengi barani Afrika. Takriban kila mtu wa pili barani humo anasimu ya mkononi na idadi inaongezeka kwa kasi.
Wahariri wa magazeti walizungumzia sakata la kashfa ya unasaji wa simu za faragha
Uingereza bado yasakamwa na kashfa ya magazeti.
Kashfa ya kunasa mawasiliano ya simu yamuathiri Cameron
Waziri mkuu David Cameron huenda akasalimika katika kashfa ya kunasa mazungumzo ya simu katika himaya ya vyombo vya habari ya Rupert Murdoch, lakini hadhi yake imeathirika.
Kashfa ya simu yamuangusha mkuu wa polisi Uingereza
Kashfa ya kunasa mazungumzo ya simu ya kampuni News Corporation imemgharimu wadhifa wake mkuu wa polisi nchini Uingereza na kuzusha hofu Waziri Mkuu David Cameron, anavyolishughulikia suala hilo.
Waislamu Ulaya: Msaada wa huduma ya simu kwa vijana wa Kiislam Uingereza
Vijana wa Kiislam wa nchini Uingereza wanasita kuomba msaada kutoka vyombo vya serikali wakihofia kutokueleweka na katika kukabiliana na tatizo hilo, imetengenezwa huduma mpya ya simu inayoitwa The Muslim Youth Helpline
Mgogoro wazuka kuhusu Kampuni ya Simu ya Safaricom nchini Kenya
Mgogoro mpya umezuka nchini Kenya kati ya serikali na chama cha ODM kuhusu uamuzi wa serikali kuuza hisa zake kwenye kampuni ya simu ya Safaricom.
Kansela Merkel afanya mazungumzo ya simu na Wen Jiabao
China yarudisha uhusiano mzuri na Ujerumani
Kiwanda cha simu za Nokia Ujerumani kufungwa
Sheria ya uchunguzi katika internet na simu yatiwa saini.
WASHINGTON: Mazungumzo ya simu na barua pepe kudakwa Marekani
Kenya kuwa na mawasiliano bora ya simu kuanzia mwaka 2008.
Badala ya Bangalore nchini India, inawezekana wateja wa benki katika mataifa tajiri wakazungumza na wafanyakazi wa mjini Nairobi mwaka ujao. Kenya ambayo inakwazwa na mawasiliano duni katika shughuli za kuzungumza kwa simu na wateja hivi sasa duniani kote, inaweka matumaini yake katika uwekaji wa waya maalum wa matumizi ya internet na simu, katika Afrika mashariki utakaowekwa ifikapo katikati ya mwaka 2008 ambao unaimarisha hadhi yake kama nchi yenye uchumi imara katika eneo hilo.
Berlin. Wafanyakazi wa simu wagoma.
Berlin. Wafanyakazi wa simu wagoma.
Johannesburg: Mbeki azungumza kwa simu na Mugabe.
Caracass: Rais wa Vernezuela, Hugo Chavez, anataka kutaifisha makampuni ya nishati na ya mawasiliano ya simu ya nchi yake.
Shirika la huduma za simu Telekom lapata kiongozi mpya.
Shirika la huduma za simu la Ujerumani Deutsche Telekom limepata kiongozi mpya. Baada ya kujiuzulu kwa Kai-Uwe Ricke atatakiwa Rene Obermann ambaye alikuwa akiliongoza shirika la simu za mkononi la T-Mobile, kuliweka shirika hilo la huduma za simu katika hali bora kutoka katika hali ya kuporomoka. Suala la NATO kutaka kuimarisha ushiriki wa jeshi la Ujerumani Bundeswehr nchini Afghanistan ni suala jingine ambalo limezungumzwa katika udondozi wa magazeti ya Ujerumani hii leo. Mnasomewa humu studioni na Sekione Kitojo.
DETROIT: Serikali ya Bush iache kutega mazungumzo ya simu
BERLIN : Kampuni ya simu ya Ujerumani yashindwa kwenye ushindani
TRIPOLI:Libya yaadhimisha siku ya mapambano dhidi ya Wataliano kwa kufunga laini za simu.
Afrika inaongoza kwa matumizi ya simu za mkono
Afrika ndio bara pekee lenye simu za mkono zaidi kuliko simu za kawaida. Mpango wa Ujerumani wa kulisaidia bara hili, kupambana na umaskini, umegundua umuhimu wa simu za mkono.
Hannover. Ujerumani kuhifadhi data za simu na internet.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 3 wa 3
Ukurasa unaofuatia