MigogoroMashariki ya Kati
Baa la njaa linashuhudiwa Ukanda wa Gaza
29 Julai 2025Matangazo
Taarifa ya Shirika hilo linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa IPC iliyotolewa Jumanne imesema msaada wa chakula unaodondoshwa kutoka angani Gaza hautatosha kulikwepa janga la kiutu.
Shirika hilo limetoa wito wa kuingizwa mara moja kwa misaada ya kiutu kwenye ukanda huo bila vikwazo ili kuzuia njaa kali na vifo kwenye ukanda huo.