SiasaBrazil
Rais wa zamani wa Brazil alipwa fidia kufuatia mateso gereza
23 Mei 2025Matangazo
Dilma Rousseff aliyeiongoza Brazil mnamo 2011 hadi 2016 alikamatwa mwaka 1970 akiwa na umri wa miaka 22 kwa kuupinga utawala wa kijeshi wa wakati huo. Bi Roussef aliwekwa jela kwa kipindi cha takriban miaka mitatu.
Kwa sasa, Dilma Rousseff anafanya kazi kama rais wa Benki ya maendeleo ya nchi za BRICS yenye makao makuu yake huko Shanghai.