JamiiUfaransa
Rais Macron atarajiwa kulihutubia taifa Jumatano jioni
5 Machi 2025Matangazo
Macron amesema kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X.
Hotuba ya Macron inatarajiwa katika wakati ambapo viongozi wa mataifa ya Ulaya wakitarajiwa hapo kesho kufanya mkutano wa kilele utakaojadili ulinzi wa bara hilo na mzozo kati ya Urusi na Ukraine.
Viongozi wa Ulaya wanataabika kukabiliana na mabadiliko ya sera ya utawala wa rais wa Marekani kuhusu mzozo huo, siku moja baada Donald Trump kutangaza kusitisha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.