Safari yake ya sanaa haikuwa rahisi, alianza na kile alichonacho kwenye jamii yake ambayo ilimpokea na kumuunga mkono na sasa ni mtengenezaji maudhui ya mtandaoni, kando yake ni Ahmed Hassan mchekeshaji wa aina yake kutoka uraibu wa mihadarati hadi kinara kwenye jamii ya watu wa Mombasa.