Katika jamii nyingi za Kiafrika, sanaa na utamaduni ni roho ya watu,ni urithi usiogusika unaounganisha vizazi, unaofundisha maadili na kuendeleza mshikamano wa kijamii. Leo, tunamulika ngoma za njuga aina ya ngoma za asili zinazochezwa kwa kuvaa njuga miguuni au mikononi. Kupitia #DW sikiliza makala hii ya Utamaduni na Sanaa na Alex Mchomvu.