Ngoma za Njuga ni aina ya ngoma za asili zinazochezwa kwa kuvaa njuga miguuni au mikononi, zikitamba kwa sauti ya kipekee inayochochea furaha, heshima na mdundo wa kuvutia. Alex mchovu anakupa umuhimu wa ngoma hizo na jinsi ya kuendeleza na kurithisha mila na tamaduni kupitia vipengele vya sanaa.